Mimi Ni msanii muda mwingi nauza kazi zangu online worldwide, nikaona sio vibaya nijaribu kupost thread hapa kuhusu kazi za Sanaa, kujaribu kutafuta soko la nyumbani, nachora African paintings kwa...
Habari wana jf,nauza shamba langu eka 4,shamba lipo maeneo ya mbuyuni barabara kuu iendayo simanjiro,shamba lipo pembeni ya barabara kuu iendayo simanjiro.
Shamba lipo umbali wa kilometa 25...
Bei jumla ni 40000, rejareja ni 45000, mkoani unatumiwa ila gharama za utumaji ni zako mteja, Dar home delivery kuanzia handbag 2, na unalipia 1000 ya nauli.
Ulipo tupo 0629586817
Jamani naomba anaejua bei za miti ilio na maeneo wanayouza hapa Dar es Salaam, Iringa au mikoa ya karibu na Dar es Salaam nitashukuru sana, nahitaji mingi kidogo..
Miti na diameter 120-160 urefu...
habari za jioni wadau!!
naomba msaada kwa mtu ajue soko la chengachenga ndogo za green toumaline hasa kenya ambapo nmepata tetesi kua ilo soko lipo. ila kwa Tanzania wanaitaji sana ya chekecho...
Je unahitaji ushauri kuhusiana na tafiti za kielemu (academic) kuanzia ngazi ya diploma, degree na masters na zisizo za kielimu?
Tafadhali wasiliana nasi. Gharama zetu za ushauri zinaanzia...
Habari wanajamvi!
Natafatuta jaw crusher yenye uwezo wa kusaga kati ya tani tano (5) mpaka ishirini (20) za mawe kwa siku. Hii ni kwa matumizi ya mchimbaji mdogo. Kama unayo au msaaada wa...
Kampuni ya CPM Business Consultants ni kampuni inayojishughulisha na kutoa ushauri wa biashara kwa wajasiriamali, imeanzisha jarida lake ambalo litatoa habari mbali mbali za kampuni kupitia...
wakuu cm natumia mwenyewe haina tatizo lolote na sababu ya kuiuza nahitaj kubadili cm,cm yangu galaxy s4 ina android version 5.0.1,ina internal memory 32GB,kama unaswali lolote usisite niulize...
Nauza maziwa kama ifuatavyo:
Fresh lita tsh 1500.
Mtindi lita tsh 2000.
Nauza kuanzia lita 5 na kuendelea.
Yanapatikana siku za Ijumaa, jumamosi na jumapili.
Ukihitaji ni pm tufanye biashara
Tunatoa huduma za:
- kuandika katiba za makampuni na NGOs
-kuandika Business plans
-kuandika company & NGO profiles n.k
Email: hoseabenjamin88@gmail.com
simu: 0752238263
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.