Habari za leo?
Kuna nyumba inapangisha vyumba viwili vya kulala,utashea jiko na bafu na choo na familia nyingine moja.
Vyumba vipo maeneo ya Tanesco,Tanga mjini.
Bei ni 90,000/= kwa mwezi kwa...
Tunatoa huduma zifuatazo:
1. Tunaandika katiba za Makampuni na NGOs
2. Tunaandika Business plans za biashara, makampuni na NGOs
3. Tunaandika Memorandum and Articles of Association za makampuni...
Wakuu tunasambaza vifaa vya ujenzi kwa bei nzuri pamoja na kukuletea hadi site kwako kwa maeneo yote ya pwani na dsm.
Tunauza vifaa kama
Rangi aina zote, gypsum powder, white cement, mikanda ya...
COMBINE HARVESTER INAUNZWA
tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu inaweza kuishi mda mrefu na ni simple sana...
Nimefanikiwa kufungua kampuni ya clearing and forwarding na inashughulika na clearance ya mizigo yote inayoingia na inayotoka (import and export) bandarini kwa gharama inayoendana na hitaji la...
Kitanda cha 6*6 cha mninga kinauzwa , kipo kwenye hali nzuri.
Kimetumika mwaka na nusu.
Kipo na Chaga zake(Pia chaga zake ni mninga).
Muuzaji anahitaji hela ya haraka.
-0684 14 14 76
Kipo...
2002 Toyota Ist, 1300cc
Silver color & Automatic transmission
Key less
Low mileage - 47500 Km
CD Player & Sports Rim
Tsh 12.5 Mil.
Ipo Dar es salaam
Call 0688-382-415.
Nauza samsung s5 duos ipo katika hali nzur
Storage -16gb
ram-2gb
camera-16mpx
Rangi nyeupe...inaglas prtectr
Bei -460k
mwnye huitaji anichek no.0659116111
kwa graduates waliojiandikisha kufanya mitihani ya certificate na professional level review zinaanza leo , kituo ni E school of banking & microfinance, kipo shule ya kisutu posta, dsm...nb kwa...
kwa graduates waliojiandikisha kufanya mitihani ya certificate na professional level review zinaanza leo , kituo ni E school of banking & microfinance, kipo shule ya kisutu posta, dsm...nb kwa...
Kwa wakazi mbeya, ninayo Gari Noah, nzima , hausumbui, no C, natafuta watu Wa kuwakodishia wanapokuwa na safari zao za pamoja kuanzia MTU mmoja hadi 7 kwenda sehemu yoyote ndani ya jiji la mbeya...
Habarini Great Thinkers,
Nina shida na nyumba ya kupanga
Mkoa :Morogoro
Mahali: Kihonda/sabasaba/bigwa
Mahitaji: Iwe na vyumba viwili/vitatu kimoja kiwe master,jiko sebule,dinning na iwe ndani...
Habari,
Mada inajieleza hapo juu,natafuta watu wenye maduka ya jumla jumla ya nguo spesho,vipodozi,electronics(simu+vifaa vyake,solar panels+vifaa vyake,tv,radio) wenye malengo ya kuwafikia wateja...
This is the beautifully 2 furnished en suite House at Kawe Beach area, OCEAN FRONT newly remodeled with all amenities and a HUGE Balcony from landscaped garden, has 2 large bedrooms and 2 full...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.