Mawakala wa vipodoz

Mawakala wa vipodoz

richenriques

Senior Member
Joined
Jun 6, 2015
Posts
188
Reaction score
33
Habari, natafta watu wa kufanya nao biashara ya bidhaa za urembo hususani wa ngozi na nywele, nahitaji watu waliopo mikoa ya mbeya, mwanza, tanga, kahama na kagera.. Nahitaj mtu alietayari awe ni mchangamfu asie na aibu, anaejiamini, na alie na nidhamu nzuri.... Ambae anahitaji kufahamu zaidi ani pm....
 
Back
Top Bottom