ipo karibu na chuo cha takwimu changanyikeni. inavyumba 3.kimoja ni master, jiko na sebule. parking ya kutosha kodi ni laki 4 na nusu. haina ya udalali. karibuni 0718800909
Salama waungwana,
Kama kichwa cha habari kisemavyo, kuna kazi ya kuchimba kisima, kwa yeyote mwenye kufanya kazi tajwa tafadhali ani-PM kwa mawasiliano zaidi.
Tunauza vifaa hivi vya kilimo ni planter,harow la makucha, pipa la kunyunyizia dawa na mpini wa jembe ni vifaa imara sana vimetoka denmark.. bei ni mil 7.5 kwa vyote hivi.. zaidi piga simu
vipo...
COMBINE HARVESTER INAUNZWA
tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu inaweza kuishi mda mrefu na ni simple sana...
Habari ndugu zangu, nilikuwa na mawasiliano na Organization moja toka Njombe kwa ajili ya kuniuzia incubator ya mayai 450 wakati niko hatua za mwisho kutaka kuiagiza bahati mbaya sana nikaibiwa...
Acer mpya
Ram 2GB
Hard disk 500GB
processor: inter (R)celeron cpu N2840 @ 2.16ghz
bei Laki 5
Toshiba
Ram 2GB
Hard disk 500gb
Bei Laki 4
Npo ubungo riverside tuwasiliane 0654314066
0768240404...
Samahani waungwana ina karakana yangu ya ufundi furniture hapa Dodoma kuna vifaa navihitaji sana, nimejaribu kuvitafuta Dar nikakosa lakini Dar ni kubwa inawezekana vipo.
Naomba yeyote mwenye...
CLEAN! CLEAN! CLEAN!
Cleaning product in the market for keeping you clean against all germs and bacteria so as to ensure your safety in daily basis.
ECOPRO MULTIPURPOSE LIQUID SOAP is the...
Tunatoa huduma zote za usafi
Usafi wa maofisini
Usafi wa majumbani
Tunasafisha carpets na sofa
Tunasafisha madirisha
Tunafanya installation ya bins kwenye maofisi
Tunafua nguo
Tunafanya...
Kwa yeyote mjasiliamali au shughuli yeyote!
Unahitaji ofisi ya kufanyia shughuli zako? Nichek pm, kuna ofisi iliyokuwa tayari kabisa, ni wewe kuja na laptop yako tu au kitendea kazi chako...
Tunauza ream paper rotatrim mondi kwa sh. 6500 kwa ream moja. Carton moja ambayo ina ream tano tunauza kwa sh 32,000 tu. Changamkia fursa hii haraka, tunapatikana hotel mabibo.
Karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.