msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
Niko na riport ya surveyor wa DCA nimepima eneo langu maji yapo,proposed ni 100m,nataka mtu atakayenichimbia kisima na kufanya shughuli zote zinazoambatana na kisima kasoro kufunga pump tu kwakuwa nataka nifunge pumpu ninayotaka mimi,budget yangu ni 4mil.Aliye seriously ani PM kwa maongezi zaidi,kabla ya kuchimba kisima tutaandikishiana mkataba na nitataka nitembelee ofisini kwa mchimbaji.
KARIBUNI
KARIBUNI