Nyumba hii.ina uzwa ina miaka ina vyumba vitano ukitoa ukumbi na jiko ina mjengo wakupangisha vikiwemo vyumba vya nje na vya ndani kisima na vyo vya nje na vya ndani asante. Tsh 95m. Asanrte
Habari wanajamii
Kwa wale wenye uhitaji wa website ama blog suluhisho ni hapa..
Nipatie kazi nikukabidhi ndani ya wiki moja ikiwa katika viwango na ubora wa kimataifa..
Kwa mawasiliano
Website...
Nyumba inauzwa maeneo ya Lash Garden kwa nyuma kama unapandia hii njia ya kwenda ST PATRICK TRUST SCHOOL.Ina bedrooms 4, tatu ni Master ,ina sitting room, kitchen, dinning room, library. Na ina...
Shirika la ndege la Etihad limetajwa kuwa Shirika la Ndege la Mwaka wakati wa tuzo za Business Travel 2016. Hafla hii ilifanyika jana usiku katika hoteli ya Grosvenor House iliyopo Jijini London...
Waungwana nahitaji mwalimu mzuri(mtalaam) wa kufundisha mtoto wa darasa la kwanza muda wa ziada. Mwalimu awe anauzoefu wa kufundisha shule za mfumo wa kiingereza. Eneo kigamboni, muda saa 11...
Aina ya Asus imetumika kidogo sana HD 500GB, RAM 4GB, CORE 3 inakaa na chaji zaidi ya masaa 5 ikiwa busy tu.
Ipo vizuri sana.
Nicheck 0713791233 au 0765791233
Hi everyone!
natoa huduma ya malazi maeneo ya arusha mbauda. vyumba vyangu ni vya kisasa na vyenye standard ya hali ya juu. kila chumba ni self contained, kitanda cha chuma, heater ya maji moto...
Habari wanajamii wenzangu.
Kwa wale wenye uhitaji wa website ama blog suluhisho ni hapa..
Nipatie kazi nikukabidhi ndani ya wiki moja ikiwa katika viwango na ubora wa kimataifa..
Kwa mawasiliano...
Kipo eneo la Baraza la mitihani.. Kwa wasiofahamu unashuka Mbezbeach makonde Baraza lipo kwa juu dakika 15 Kutoka barabarani kituo cha makonde. Changamkia fursa, ukija njoo na pesa yako Kabisa...
eneo linauzwa lipo karibu na dar zoo kigamboni
eneo limepimwa na hati zake zipo
heka 2 zinauzwa kwa jumla sh 30 m
ukitaka heka moja maelewano pia yapo
mawasiliano 0752 096 782
Nyumba inapangishwa
Sinza Mugabe
Master bedroom
Single room
Living room
Public toilet
Vyumba ni vikubwa sana na madirisha makubwa yenye hewa,maru maru mpka chooni
Dakika 1 kutoka Mugabe shulen...
Aina Ya simu =Vodafone VF685
Internal Memory=2GB
RAM=512 MB
camera=3.15 mpx
Android version=4.4.2 KitKat
Bei ni Tsh 53,000 Tu
simu ni nzimq ,haina shida yoyote wala haijawahi kufika kwa fundi...
Nyumba inapangishwa
Sinza Mugabe
Master bedroom
Single room
Living room
Public toilet
Vyumba ni vikubwa sana na madirisha makubwa yenye hewa,maru maru mpka chooni
Dakika 1 kutoka Mugabe shulen...
Frem Ipo hapa mwenge karibu na TRA, opozit magorofa ya jeshi, ni kubwa na biashara Ipo, frem Ipo barabarani kabisa barabara ya mwenge kwenda Africa sana bei ni 400,000 maongezi yako wasiliana nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.