Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jaman mwenye idea za bei za mashine za kuoshea magari anisaidie. Pia kama una uzoefu na hiyo biashara share pliiiiiz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba hii.ina uzwa ina miaka ina vyumba vitano ukitoa ukumbi na jiko ina mjengo wakupangisha vikiwemo vyumba vya nje na vya ndani kisima na vyo vya nje na vya ndani asante. Tsh 95m. Asanrte
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wanajamii Kwa wale wenye uhitaji wa website ama blog suluhisho ni hapa.. Nipatie kazi nikukabidhi ndani ya wiki moja ikiwa katika viwango na ubora wa kimataifa.. Kwa mawasiliano Website...
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Nyumba inauzwa maeneo ya Lash Garden kwa nyuma kama unapandia hii njia ya kwenda ST PATRICK TRUST SCHOOL.Ina bedrooms 4, tatu ni Master ,ina sitting room, kitchen, dinning room, library. Na ina...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Shirika la ndege la Etihad limetajwa kuwa Shirika la Ndege la Mwaka wakati wa tuzo za Business Travel 2016. Hafla hii ilifanyika jana usiku katika hoteli ya Grosvenor House iliyopo Jijini London...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Natafuta friji dogo la mlango mmoja used kwa bei nafuu Kama unalo nichek
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana nahitaji mwalimu mzuri(mtalaam) wa kufundisha mtoto wa darasa la kwanza muda wa ziada. Mwalimu awe anauzoefu wa kufundisha shule za mfumo wa kiingereza. Eneo kigamboni, muda saa 11...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tigo 250000 mpesa 140000 airtel money 95000 0712191251
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Mil 4.3 fixed 0719755966 Haidaiwi chochote inafika mkoà wowote
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aina ya Asus imetumika kidogo sana HD 500GB, RAM 4GB, CORE 3 inakaa na chaji zaidi ya masaa 5 ikiwa busy tu. Ipo vizuri sana. Nicheck 0713791233 au 0765791233
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi everyone! natoa huduma ya malazi maeneo ya arusha mbauda. vyumba vyangu ni vya kisasa na vyenye standard ya hali ya juu. kila chumba ni self contained, kitanda cha chuma, heater ya maji moto...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari wanajamii wenzangu. Kwa wale wenye uhitaji wa website ama blog suluhisho ni hapa.. Nipatie kazi nikukabidhi ndani ya wiki moja ikiwa katika viwango na ubora wa kimataifa.. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Kipo eneo la Baraza la mitihani.. Kwa wasiofahamu unashuka Mbezbeach makonde Baraza lipo kwa juu dakika 15 Kutoka barabarani kituo cha makonde. Changamkia fursa, ukija njoo na pesa yako Kabisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
eneo linauzwa lipo karibu na dar zoo kigamboni eneo limepimwa na hati zake zipo heka 2 zinauzwa kwa jumla sh 30 m ukitaka heka moja maelewano pia yapo mawasiliano 0752 096 782
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Sinza Mugabe Master bedroom Single room Living room Public toilet Vyumba ni vikubwa sana na madirisha makubwa yenye hewa,maru maru mpka chooni Dakika 1 kutoka Mugabe shulen...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Naitaji simu ya smart phone iwe na uwezo mzur... cash nina laki moja..napatikana Dar es salaam Tegeta kwa ndevu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Aina Ya simu =Vodafone VF685 Internal Memory=2GB RAM=512 MB camera=3.15 mpx Android version=4.4.2 KitKat Bei ni Tsh 53,000 Tu simu ni nzimq ,haina shida yoyote wala haijawahi kufika kwa fundi...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Kama unauza simu kwa hela hiyo niliyoitaja nicheki. NB: kama itakuwa tecno basi iwe c5 au c8 mawasiliano 0713268209
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nyumba inapangishwa Sinza Mugabe Master bedroom Single room Living room Public toilet Vyumba ni vikubwa sana na madirisha makubwa yenye hewa,maru maru mpka chooni Dakika 1 kutoka Mugabe shulen...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Frem Ipo hapa mwenge karibu na TRA, opozit magorofa ya jeshi, ni kubwa na biashara Ipo, frem Ipo barabarani kabisa barabara ya mwenge kwenda Africa sana bei ni 400,000 maongezi yako wasiliana nami...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom