Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau Salaam Kama kuna anayefahamu nawezaje kupata incubator inayotumia mafuta ya taa anisaidie maana kwa hali ya umeme hapa nilipo unakatika hadi siku mbili matokeo yake mayai yanaharibika...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wasalaam wanajamii forum... Napenda kuchukua fursa hii kwa wale wote wapenzi wa Vitabu vya Joram Kiango vilivyoandikwa na mtunzi Ben R. Mtobwa kuwa SALAMU TOKA KUZIMU vitaingia sokoni tarehe...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Culture Shoes nzuri na ngumu kwa bei ya punguzo 22000/=
0 Reactions
2 Replies
809 Views
We prepare books of accounts, annual financial statements and business plans. call 0672 259 395 or 0757 368 523
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Nahitaji Kinglion 'used' kwa OFA ya 900,000 to 1,000,000 Npo Manzese,Bigbrother. 0655874863
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Viwanja vimepimwa, havina hati, hati utafuatilia mwenyewe mnunuzi, ukihitaji tukusaidie kupata hati haina shida, vipo puna mbele kidogo ya kimbiji, vipo jirani kabisa na bahari ya Hindi, ukubwa ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nanunua kwa maelewano
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Je unahitaji nyumba ya Kupanga, Kuuza, Unauza, Kodisha, Mashamba, Yard, Ofisi, Viwanja, jijini Mbeya, Dodoma, Dar es salaam, Mtwara, Morogoro, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta fundi wa magari mwenye uzoefu wa ford (ford focus ) gari ipo Dar es salaam haiwaki my contact 0754479518 au mwenye contact za mafundi wazuri wa ford please provide details
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Iwambi, Mbeya 18m, kina ukubwa wa sq 601, kipo kwenye kona, ni kiwanja kizuri sana!!! Mazungumzo yapo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa 900m Tshs. Ya ghorofa, ipo eneo zuri la kibiashara. Mazungumzo yapo. kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu 0754060350,0716252818. Nyote mnakaribishwa!!!!!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba linauzwa, liko mlandizi, ukubwa; eka 31/2 bei; mil 5 mawasiliano; 0754495938
0 Reactions
0 Replies
708 Views
Je unategemea kufanya engagement? Na hujui ni pete ya aina gani umnunulie mpenzi wako? Basi ondoa shaka, tutakupa ushauri wa bure jinsi gani utaweza kumfanyia surprise mpenzi wako kwa pete...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jaman natafuta mashine ya kukata nyama yaan nyama iliyokatwa iwe thin kama vile silesi ya mkate nyembamba na ndefu, plz kwa aliyo nayo au kujua mahali zipo
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza line ya tigo uwakala 270000 namba yang ni 0654869008
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wana jukwaa habari . Ni matumaini yangu kua mko salama kabisa na mwaendelea kulijenga taifa . Bila kupoteza mda ningependa kujuzwa kuhusu tv mojawapo kati ya hizo nilizotaja hapo juu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu, nauza duka la vifaa vya umeme, vipo vya Bomba na ujenzi pia. Pia nitakuuzia shelves, kabati ya display pamoja na Meza. Vyote nauza jumla kwa 5 mill only.
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Jipatie Samsung Galaxy Grand prime mpya kwa 380000 tu maongezi yapo...piga 0768643685
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Eneo la kiwanja linauzwa mbezi shamba (goba)eneo limeshajengwa vyumba viwili na halipo mbali na barabara pia umeme upo,bei ni kwa yule anayehitaji kwa mawasiliano piga 0785-458405
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Salama kabisa! Nina surveyed plots in kigamboni mbele ya kimbiji kunaitwa PUNA na KWA CHALE. Kwa chale ni karibu na JKT ya kimbiji. Na pia ninavyo POTEA njia ya kwenda Tundwi. Kutoka ferry 1...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom