Salaam wadau...nauza Toyota Mark 2 GX110 ya 2003.Ina wiki 2 tu hapa bongo na inacomprehensive insurance.Km 49000.Bei ni Mil 12 negotiable.Kwa mawasiliano contact 0689900000.Asanteni
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zanguni,tafadhalini husikeni na kichwa cha hanari kama kinavojieleza,ninauza shamba langu lililoko bagamoyo maeneo ya kidomole lenye ukubwa wa ekari5,kwa...
Wadau mimi ni mtaalamu wa kudesign blogs ,Adsense accountS za blogs pamojana temPlate kalikali.
Pia domain registratio za domain na vitu vyote vinavyohusiana na blogs.
Kamautahitaji huduma...
Tunachora Ramani za kisasa za Nyumba Kwa bei nafuu sana
Tupo Dar. Kwa walio mikoani watafikishiwa michoro yao.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi WhatsApp 0717 040837/0767267664
Tunachora Ramani za kisasa za Nyumba Kwa bei nafuu sana
Tupo Dar. Kwa walio mikoani watafikishiwa michoro yao.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi WhatsApp 0717 040837/0767267664
Nyumba ina tyles rangi Safi gypsum na haijawahi kutumika ipo Eneo la Goldstar yaani unashuka tankibovu umbali ni chini ya dakika 15 hivi Kutoka tankibovu kituoni
1.Tigo pesa 250,000
2.Tigo pesa 350,000
no. 2 unapata kwa jina lako
no. 1 unapata kwa jina la wakala mkuu lkn itabidi utume copy ya leseni ya biashara, Tin no na kitambulisho kwa ajili ya...
Nahitaji nyumba ya kupanga kuanzia vyumba viwili na iwe na sebule, jiko, store, master bedroom iwe moja, iwe kwenye uzio, isiwe zile nyumba za kizamani korido refu kama uwanja wa mbio....
Maeneo...
Kuanzia kesho sa3:30 mpk sa11 jioni duka litakua waZi Ryan's hotel njia ya kwenda Capri point Mwanza.
Baskeli mtumba kutoa Uswizi, kuanzia za watoto mpk wakubwa utapata. Changamkia fursa hii...
Jamani kama kuna mwenye dawa ya kuwafanya samaki wakose fahamu kwa muda na kurudia hali zao za kawaida, naomba ani PM. Nahitaji kusafisha bwawa la kienyeji na kulijengea na kisha Niwarudishe humo...
Habari wandugu
Nyumba inapangishwa iko maeneo ya Msasani karibu na Zara Tours. Nyumba iko sehemu nzuri sana, ina vyumba vitatu kimoja master, public toilet ya ndani, dining , jiko na sitting...
Habari wanajamvi, ninatafuta slim laptop yenye 13 inches.
Specs; at least 500 HDD, 4 GB RAM
Brand: HP, Dell, Samsung, Asus or any other reputable brand
NB: Iwe slim, iwe na uzito usiozidi kilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.