Nahitaji private hostel ya wasichana Dar

Mambaenock

JF-Expert Member
Aug 7, 2013
427
107
Habar wanaJF,

Kwa yoyete mwenyekufahamu wapi nitapata hostel binasfi ya wasichana Dar, iwe na maji pia umeme. Malipo yake yawe kwa mwezi au kwa semester kama unafahamu wapi nitapata unaweza ukanipa contact zake pia.

NB. Kuna mtu namtafutia.
 
Habar wanaJF,

Kwa yoyete mwenyekufahamu wapi nitapata hostel binasfi ya wasichana Dar, iwe na maji pia umeme. Malipo yake yawe kwa mwezi au kwa semester kama unafahamu wapi nitapata unaweza ukanipa contact zake pia.

NB. Kuna mtu namtafutia.
Vipi umepata hostel
 
Back
Top Bottom