ERA Teachers' College
Je., wewe ni mtanzania mwenye kuhitaji kujiendeleza kimasomo na kuweza kuwa miongoni mwa watu wenye kujihakikishia nafasi ya ajira??
Courses zitolewazo ni, Ordinary diploma...
Nyumba IPO kijichi Temeke INA vyumba self 1, room 2, sitting na dinning room, fensi, maji pamoja na tank
IPO barabarani na umbali wa mita 100 kutoka stendi ya daladala. Kodi laki 3 kamili...
Nimedunduliza pesa ya kuweza kununua pikipiki kwa ajili ya biashara ya bodaboda ila nimefanya uchunguzi mdogo kwa watu wachache wanasema ninunue pikipiki za sanlg/sunlg ...
Je ni pikipiki gani...
Habari wana jukwaa!
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sebule, jiko, vyumba atleast kuanzia viwili kimoja kiwe master, na public toilet. Iwe maeneo ya ubungo, kimara au mbezi. Isizidi laki mbili...
Nimefanikiwa kufungua kampuni inayoshughulika na uondowaji wa mizigo inayoingia na kutoka(import and export) bandarini kwa bei inayoendana na hitaji la mteja kwa anaehitaji tunaweza kuwasiliana...
I have three project.
One is located at Kimbiji kwa chale 45 kms from ferry the second is at puna 48 kms from ferry both are on the ocean side within 1.5kms while some plots are beach plots.
The...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.tuliinunua kwa matumizi ya familia baadae tukaona tuisajili kama daladala.lengo la kuuza ni kwamba tunahitaji kuagiza nissan civilian hvyo tumefikiria kuuza...
Habari wanabodi.
Kama inavyosomeka hapo juu anahitajika mtaalamu/daktari au consultation personnel anayefahamu kuhusiana na madawa ya mifugo.
Kuna kampuni ya dawa za mifugo ipo mbioni...
12 hectares are sold at Mapogoro, alongside the road of Ruaha National park. It is fenced with poles, tourist bandas are made inside. It is nice place for Campsite, any one with interest please...
Top 4 na base 2 pamoja na rec yake naiuza iko complete...sijautumia Sana na vifaa vyote vino ktk hali nzuri Sana..
Bei t
Yake ni million 7,fursa kwa wale wanaotaka na kujua biashara ya ukodishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.