Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

....mwenye kufahamu bei za mabasi aina ya yutong atupatie maelezo.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
habar wadau!! nahtaj smartphone nina lak moja km unayo tuwasliane apo 0673959426 npo dar
0 Reactions
3 Replies
696 Views
Habari yenu JF members, Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm.Sangara 1kg pamoja na usafiri Tshs 6000...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau ninauza automatic change over switch ya generator yenye dimensions zifuatazo height:60cm,width:50cm,length:20cm specification za umeme: current:125A voltage:220VAC~380VAC contactor...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nyumba ni ya Vyumba vitatu, Kimoja master, Jiko pia lipo.. maji yapo ya kutosha na tank kubwa za maji, maji mpaka ndani, uzio mzuri na parking ya kutosha bei ni 650,000 kwa mwezi, wasiliana nami...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vifaa vya bakery used vinauzwa almost vifaa vyôte vya bakery vimetimia Oven Mikate 60 Kwa mara moja. 2,700,000/= Iven mikate 225 linahitaji...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Nipo Arusha kwa mwenye ako nayo anitafute kwenye namba 0757191544 au 0655191544.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii forum? Kwa wale wapenzi wote wa Riwaya za marehemu BEN R. MTOBWA, tayari mzigo wa MTAMBO WA MAUTI & TUTARUDI NA ROHO ZETU? UPO TAYARI. Kwa sasa, vinapatikana vitabu aina...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Ndugu wateja karibuni kwa tofali BORA NA IMARA za kokoto nyeusi za Msolwa. Zimetengenezwa kwa FORMULA maalum kuhakiki UBORA, kokoto ngumu, cement bora, maji yasio na chumvi, artificial hardeners...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
White color 1998 98,500Km G limited CD Player A/C Rear Spoiler Fog Lamp Bei: 13,700,000Tsh
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ina tyles fresh rangi Safi ndani ya geti dakika tano Kutoka kituoni njoo na kodi miezi Sita na kodi ya mwezi ya udalali. Inapangishwa kwa 130000tsh Mawasiliano piga 0689315582
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Sold
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Generator FIRMAN shs250000 Radio kubwa SONY shs 250000 14"TV (not flat screen) shs100000 Printer CANON 2 each shs80,000 Printer HP shs120000 Camera SONY 3CCD shs600000 VHS convertor to DVD shs...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Nyumba inapangishwa ipo Kijitonyama nyuma ya Polisi Mabatini: Chini ina sebule dining, chumba master, jiko, public toilet, store, Juu vyumba vitatu kimoja master...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Habari zenu Wakuu. TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Nyumba inapangishwaa ipo Kijitonyama Masjid Qubah nyuma ya Polisi Mabatini: Chini ina Sebule dining, chumba master, jiko, public toilet, Juu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! Naomba wa msaada wa anaejua wapi naweza kupata au kuchongesha mashine kwa ajili ya kusaga mabunzi ya mahindi ili yatumike kwa chakula cha mifugo anijulishe.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Saloon yakike ikiwa nakilakitu, inauzwa kwabei nzuri sana... bei imejumlishwa na kodi ya frem yamda wa miezi saba jumla inataka milion5, sifa kubwa saloon ipo zaidi ya miaka 4, hakuna umuhim...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama ni wewe (fundi) tafadhari ni pm nina shida ya haraka.
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Suzuki Escudo inahitajika, hata kama ni Old model. Offer ni 4.5M, kama ina hali nzuri mteja yuko tayari. Kama unaona inafaa tuwasiliane
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Back
Top Bottom