Injini haijaguswa.body iko vizuri.full air condition.power window. Injini cc 1998. Gari ya mwaka 1999. Seat 8. Mawasiliano 0769881984.0715075858.0783085858.
Chumba sebule jiko pamoja na choo chake kinapangishwa maeneo ya savei dakika 7 tokea mlimani city. Bei yake ni sh 180, 000/= inahitajika kodi ya mwaka.
Nb hakuna uzio ila kuna usalama na...
Habari za jioni
Wakuu nahitaji gari lakini bajeti yangu ni Tshs 5.5mil. Suala la namba ni kuanzia B na kuendelea na mwenye gari awe tayari kwa mimi kuja na fundi wangu kuikagua na kuhakiki na...
Habari wana Bodi
Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro.
Yapo 2 km kutoka barabara kuu.
Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1.
Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872
Asante
Habari ndugu wanajamii!
Kuna kiwanja kipo maeneo ya kivule stendi ya daladala kinauzwa!
Umbali kutoka stendi ni mita 60.
Ukubwa wa kiwanja ni 23 x 20 ft.
Bei sh.6,500,000/= (ukipungukiwa...
Kama unasumbuliwa na tatizo lolote la muonekano, harufu, rangi nk kwenye ngozi na mwili wako kwa ujumla basi sasa ndo muda wako wa kuondokana nalo na kufurahi.
Karibu sana tukusaidie kuondoa...
Habari za mchana wakubwa,
Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million.
Asante na karibu kwa kuchangia kama...
Habari Wana Jamii ,
Ninakodisha magari (pichani) kwa mkataba wa miezi mitatu mitatu.
Kwa sasa namalizia mkataba na Kampuni moja mwishoni wa mwezi huu.
Magari yanapark Oystebay, Haile Selassie...
VIWANJA VIKO KIGAMBONI DEGE 30 kwa 40 na 30 kwa 26 bei million 7 kila kimoja na heka 1 nyuma ya magorofa ya nssf dege bei ni million 23 nashida zangu kibiashara siitaji dalali, Simu 0787321020
Wakuu wa Nchi natafuta side mirror ya landcruaser Prado upande wa kushoto. Ni Prado TX mawasiliano +255788860898 please hata kama imetumika wakuu .Niko Arusha Tanzania,
Habari wakuu, nauza mashuka pure cotton mazuri sana na hayachuji, 35kwa pic 1ya 6*6na foronya mbili, na 70,000 kwa mashuka 6*6 na foronya nne. Karibuni sana
Jina: Samwel Prosper Nyoni
Umri: Miaka 10
Shule: Olimpio
Mtoto huyu amepotea. Alikuwa anaishi mabibo na huko ndiko alionekana mara ya mwisho. Alikuwa amevaa t-shirt ya kijivu na kaptula ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.