Wadau Salaam
Kama kuna anayefahamu nawezaje kupata incubator inayotumia mafuta ya taa anisaidie maana kwa hali ya umeme hapa nilipo unakatika hadi siku mbili matokeo yake mayai yanaharibika...
Wasalaam wanajamii forum...
Napenda kuchukua fursa hii kwa wale wote wapenzi wa Vitabu vya Joram Kiango vilivyoandikwa na mtunzi Ben R. Mtobwa kuwa SALAMU TOKA KUZIMU vitaingia sokoni tarehe...
Viwanja vimepimwa, havina hati, hati utafuatilia mwenyewe mnunuzi, ukihitaji tukusaidie kupata hati haina shida, vipo puna mbele kidogo ya kimbiji, vipo jirani kabisa na bahari ya Hindi, ukubwa ni...
Je unahitaji nyumba ya Kupanga, Kuuza, Unauza, Kodisha, Mashamba, Yard, Ofisi, Viwanja, jijini Mbeya, Dodoma, Dar es salaam, Mtwara, Morogoro, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818...
Natafuta fundi wa magari mwenye uzoefu wa ford (ford focus ) gari ipo Dar es salaam haiwaki
my contact 0754479518 au mwenye contact za mafundi wazuri wa ford please provide details
Nyumba inauzwa 900m Tshs. Ya ghorofa, ipo eneo zuri la kibiashara. Mazungumzo yapo. kwa mawasiliano wasiliana nami kwa simu 0754060350,0716252818.
Nyote mnakaribishwa!!!!!!!!!!
Je unategemea kufanya engagement?
Na hujui ni pete ya aina gani umnunulie mpenzi wako?
Basi ondoa shaka, tutakupa ushauri wa bure jinsi gani utaweza kumfanyia surprise mpenzi wako kwa pete...
jaman natafuta mashine ya kukata nyama yaan nyama iliyokatwa iwe thin kama vile silesi ya mkate nyembamba na ndefu, plz kwa aliyo nayo au kujua mahali zipo
Ndugu wana jukwaa habari .
Ni matumaini yangu kua mko salama kabisa na mwaendelea kulijenga taifa .
Bila kupoteza mda ningependa kujuzwa kuhusu tv mojawapo kati ya hizo nilizotaja hapo juu...
Habari wakuu, nauza duka la vifaa vya umeme, vipo vya Bomba na ujenzi pia.
Pia nitakuuzia shelves, kabati ya display pamoja na Meza.
Vyote nauza jumla kwa 5 mill only.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.