Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

LADYELLYMOVINGSHOP. UTARATIBU. 1.Oda zote zinapokelewa, mteja unapaswa kulipia oda zako ndani ya masaa 72 tangu ulipotoa oda. 2.Oda isiyolipiwa ndani ya masaa 72 ni batili, hvo bidhaa itauzwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Mahitaji: Flame za biashara zinapangishwa Mwenge near TRA Flame za mbele ni kuanzia Million 1, Laki 8, 7 mpaka 5 zinatofautiana ukubwa Na za ndani ni kuanzia laki 4, 3...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa TDTC pale UDSM, iko imara sana. Kwa bei ni 800,000 (Maelewano yapo) niPM tufanye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kwa anayehitaji kiwanja kimbiji. Ukubwa ni 60x30 Bei 12 milion @ Serious buyer ni PM.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS: Mahitaji: Hostel ya kisasa kwa wanafunzi n.k ipo sinza mapambano karibu na barabara. Elfu 80,000/= per month, maji Massa 24, Dstv k) Kodi mwaka hadi miezi 6 Karibuni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ina 3gb uwezo wa simu na inauwezo kwa kusoma memory card hadi 120gb ina hali nzuri icpokua ina ufaa mmoja kwenye kioo cha nje network GSM// 3G na H+ 0718959889 Arusha
0 Reactions
1 Replies
911 Views
mazingira mazuri ya nyumbani, ofisini, hotelini hata shuleni huchangiwa na landscape nzuri iliyodesginiwa vizuri na kujengwa vizuri tu one kwa ushauri na kwa kazi pia hapo chini ni baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangaza Marketing Solutions: Gari linauzwa: Aina : Carib Cc : 1200 Namba : B Engine ipo smark kabisa Bei : Million 3.5 - 3.3 Contact : 0785-074040 karibu sanaaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta tv ya lg inch 43 led offer yangu 750k kwa mwenye nayo na atakayeridhika na offer anipigie chaap 0716623022
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iko powa kabisa, fanya fasta kabla simu yako haijafungiwa. bei tsh. 210,000 tu. MWANZA
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa Wakazi wa Dar karibuni Mabibo Relini tumewaletea mchele pure/wa asili kutoka Kyela, yani ule mchele ukiuweka nje hadi nzi wanaufuata, (sio ile ya kuchanganya) Bei ni Tsh 2500 kwa kilo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Spec Intel Core i5 Processor 2.6 ghz With turbo boost up to 3.2 ghz Ram 4gb Hard disk 320 Battery 2:30 hrs Price 530000/= tsh.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa hudumua nzuri na ya uhakika ya bima ya gari lako na nyumba UAP ipo kwa ajili yako kukuhudumia kwa wakaza wa dsm tuna ofisi yetu ya mauzo iko tegeta kwa ndevu wasiliana nasi kwa huduma bora na...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa square metre 3,000 kinauzwa Boko basihaya. kina hati ambayo utapewa copy kwenda kuhakikisha matumizi ya eneo wizarani. kiko barabarani na kinafaa kwa filling station au...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Godown linapangishwa chang'ombe mbozi road. ukubwa wake ni 440sqm. bei ni $7 per SQM per month. mawasiliano piga 0755 092 734 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi,Natafuta shamba la kukodi la eka 20 kwa ajili ya kilimo cha ufuta kwa msimu unao anza yaani mwezi wa 11,12,1 au 2 kulingana na majira husika. Mimi napatikana Dar nipo tayari...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Napangisha Nyumba, ni yangu mwenyewe, IPO mbezi ya kimara,kilometer 1.2 toka barabara Kuu ya morogoro, INA Nyumba vitatu vya kulala,one master bed rm,library,public toilet mbili moja IPO nje...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza inaitajika used howo truck kwa aliyonayo lets mit PM
0 Reactions
0 Replies
702 Views
nauza till ya mpesa bei maelewano. nipo Mwanza mawasiliano:0752530592
0 Reactions
2 Replies
825 Views
Back
Top Bottom