LADYELLYMOVINGSHOP.
UTARATIBU.
1.Oda zote zinapokelewa, mteja unapaswa kulipia oda zako ndani ya masaa 72 tangu ulipotoa oda.
2.Oda isiyolipiwa ndani ya masaa 72 ni batili, hvo bidhaa itauzwa...
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Mahitaji: Flame za biashara zinapangishwa Mwenge near TRA
Flame za mbele ni kuanzia Million 1, Laki 8, 7 mpaka 5 zinatofautiana ukubwa
Na za ndani ni kuanzia laki 4, 3...
Mashine ya kupigia tofali na vibao vyake viko 500 inauzwa, inatoa tofali moja la 5.5", iko Dar, ilitengenezwa TDTC pale UDSM, iko imara sana.
Kwa bei ni 800,000 (Maelewano yapo) niPM tufanye...
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Mahitaji: Hostel ya kisasa kwa wanafunzi n.k ipo sinza mapambano karibu na barabara.
Elfu 80,000/= per month, maji Massa 24, Dstv k)
Kodi mwaka hadi miezi 6
Karibuni...
Ina 3gb uwezo wa simu na inauwezo kwa kusoma memory card hadi 120gb ina hali nzuri icpokua ina ufaa mmoja kwenye kioo cha nje network GSM// 3G na H+
0718959889 Arusha
mazingira mazuri ya nyumbani, ofisini, hotelini hata shuleni huchangiwa na landscape nzuri iliyodesginiwa vizuri na kujengwa vizuri
tu one kwa ushauri na kwa kazi pia
hapo chini ni baadhi ya...
Tangaza Marketing Solutions:
Gari linauzwa:
Aina : Carib
Cc : 1200
Namba : B
Engine ipo smark kabisa
Bei : Million 3.5 - 3.3
Contact : 0785-074040 karibu sanaaa
Kwa Wakazi wa Dar karibuni Mabibo Relini tumewaletea mchele pure/wa asili kutoka Kyela, yani ule mchele ukiuweka nje hadi nzi wanaufuata, (sio ile ya kuchanganya)
Bei ni Tsh 2500 kwa kilo...
Kwa hudumua nzuri na ya uhakika ya bima ya gari lako na nyumba UAP ipo kwa ajili yako kukuhudumia kwa wakaza wa dsm tuna ofisi yetu ya mauzo iko tegeta kwa ndevu wasiliana nasi kwa huduma bora na...
Kiwanja chenye ukubwa wa square metre 3,000 kinauzwa Boko basihaya. kina hati ambayo utapewa copy kwenda kuhakikisha matumizi ya eneo wizarani. kiko barabarani na kinafaa kwa filling station au...
Habari zenu wanajamvi,Natafuta shamba la kukodi la eka 20 kwa ajili ya kilimo cha ufuta kwa msimu unao anza yaani mwezi wa 11,12,1 au 2 kulingana na majira husika.
Mimi napatikana Dar nipo tayari...
Napangisha Nyumba, ni yangu mwenyewe, IPO mbezi ya kimara,kilometer 1.2 toka barabara Kuu ya morogoro, INA Nyumba vitatu vya kulala,one master bed rm,library,public toilet mbili moja IPO nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.