Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza gari hiyo ahsanteni!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu wana JF labda zaidi wa Mtwara! Nahitaji nyumba ya kupanga(nzima/yote), Mtwara mjini haswa karibu na maeneo zilipo Lodges/Guest houses . Mkataba wa miaka 3-5. Hata kama ilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
873 Views
Gari eidha iwe namba A au B.. kama ipo nicheki : 0767287941
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Lipo Mbeya jiji barabara ya inyala hospital kama unaelekea inyala secondary, linaukubwa wa hatua 30 kwa 18 bei ni 5M. Nicheck kwa namba 0714374155 au 0753199179.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salama kabisa! Nina surveyed plots in kigamboni mbele ya kimbiji kunaitwa PUNA na KWA CHALE. Kwa chale ni karibu na JKT ya kimbiji. Na pia ninavyo POTEA njia ya kwenda Tundwi. Kutoka ferry 1...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imepangishwa. Asanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka landcruser v8 ya mwaka 2013 /14,diesel an auto budget dollar 85k,km unayo au unaconnection na mtu ambaye anayo nicheck hapa 0678224427,isiwe ya kusubiria
0 Reactions
1 Replies
705 Views
Naitwa x,nauza eneo lenye vyumba viwili,eneo lipo mbezi (goba)sio mbali na barabara na umeme upo namba zangu kwa atakayehitaji ni 0785-458405
1 Reactions
0 Replies
868 Views
Nyumba (tafadhali tazama picha) iliyoanza kujengwa inauzwa. Iko Goba Tegeta A, au Kwa Bedui. Kiwanja ukubwa wake ni 50 by 26. Inauzwa 37m. Serious buyer contact 0755 092 734.. 0754 810853
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hii sim imetumika wiki tuu sasa tangu kununuliwa ni original, 32GB na ina 3GB ram camera 16Mpx na ina record video 4K ina heart beat rate monitor (built in) na specification zingine kibao ppiga...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Viwanja viko mbezi mpiji magoe ukubwa kuanzia 22x20 bei 4.5milion. Viko kandokando mwa barabara ya mbezi kwenda mpiji magoe. Huduma muhimu kama maji, umeme, hospital na shule zinapatikana. Kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, nauza Kiwanja change chenye ukubwa wa 35x45 mita, kimepimwa na manispaa ya morogoro, kina ofa. Nauza kwa bei ya tsh 10M haipungui. Eneo lipo kihonda Kilimanjaro ( karibu na eneo...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nimepewa jukumu la kutafuta nyumba kadhaa Geita zenye sifa zifuatazo kwa ajili ya kupanga: 1. Yenye walau vyumba 2-3 2. Lazima kuwe na 2 bathrooms 3. Fence na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Viwanja vipo Kilometer1.2 kutoka stedi ya daladala ya Goba. Viwanja vimepimwa kama ifuatavyo:-- Ukubwa 20M×20M (SQM 400)-Bei 10Milioni Ukubwa 20M×40M (SQM 800)-Bei 20Milioni Ukubwa 30M×40M (SQM...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Jipatie domain kwa Tshs 18000 tu, .com .org etc, nipigie 0652740927, vile vile kama unahitaji adsense account waweza nicheki.
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Jamani wadau nauliza sehemu ambapo inapatikana vifusi vya lami kama mabaki ya barabara ya lami baada ya kukwanguliwa either kwa kukosewa kujengwa (chini ya ubora) au kufikia maximum life span...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Simu used aina ya Samsung S5 inauzwa bei poa mwenyewe ana sshida ya haraka kwa anaetaka wasiliana kwa namba 0675424112.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau salaam...nauza Note 4 yangu.Nimeitumia vizuro so ni almost new.32gb.Bei laki 6.Karibuni.Kwamasiliano no 0689900000.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom