Habari zenu wanajamvi,Natafuta shamba la kukodi la eka 20 kwa ajili ya kilimo cha ufuta kwa msimu unao anza yaani mwezi wa 11,12,1 au 2 kulingana na majira husika.
Mimi napatikana Dar nipo tayari...
Napangisha Nyumba, ni yangu mwenyewe, IPO mbezi ya kimara,kilometer 1.2 toka barabara Kuu ya morogoro, INA Nyumba vitatu vya kulala,one master bed rm,library,public toilet mbili moja IPO nje...
Habari ndugu zangu..kama nilivyoeleza hapo juu tunatoa huduma za usafi majumbani kama nyumba ni mpya na unataka kuhamia au hata nyumba unayoishi tunafanya deep cleaning,kufua,kupanga na decoration...
Habari gani Wakuu? Eneo la Barabarani kwenye lami Linauzwa Kigamboni Mwembe Mdogo Kigamboni.
Ukubwa wake ni heka 2 na liko km 2 kutoka mradi wa apartments za NSSF Dege na Km 6 kutoka baharini...
Hi wadau,
Naishi Mwanza (Nyamagana) Bugarika. Nimepata uhamisho wa kikazi kwenda mkoa mwingine. Naona kero kusafiri na vitu. Nimeamua kuuza vitu vifuatavyo: 1. Dish la futi 6 (euro star) na...
Niko na riport ya surveyor wa DCA nimepima eneo langu maji yapo,proposed ni 100m,nataka mtu atakayenichimbia kisima na kufanya shughuli zote zinazoambatana na kisima kasoro kufunga pump tu kwakuwa...
Habari, natafta watu wa kufanya nao biashara ya bidhaa za urembo hususani wa ngozi na nywele, nahitaji watu waliopo mikoa ya mbeya, mwanza, tanga, kahama na kagera.. Nahitaj mtu alietayari awe ni...
Natafuta Bajaji Aina ya TVS used, iwe kwenye hali nzuri Ofa kuanzia M3.5 mpaka M4 kulingana na ubora, tafadhali naomba iwe kwenye hali nzuri nipo Dar es Salaam, kama unayo nichek kwa 0713415537
Wadau natafuta shamba la kununua kama ekari 40 zikiwa zimegawanyika kama ifuatavyo;
Ekari 10 zinazofaa kwa mazao ya bustani na yale karibu na maji
Ekari 10 zinazo faa kwa mpunga na ziwe na karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.