Eneo la kiwanja linauzwa mbezi shamba (goba)eneo limeshajengwa vyumba viwili na halipo mbali na barabara pia umeme upo,bei ni kwa yule anayehitaji kwa mawasiliano piga 0785-458405
Salama kabisa!
Nina surveyed plots in kigamboni mbele ya kimbiji kunaitwa PUNA na KWA CHALE.
Kwa chale ni karibu na JKT ya kimbiji.
Na pia ninavyo POTEA njia ya kwenda Tundwi.
Kutoka ferry
1...
UKUBWA: SQM 900, UMEME UPO NA BARABARA HADI KWENYE KIWANJA.
KIWANJA KIMEKATWA, MWENYE KIWANJA AMEJENGA PEMBENI.
KIWANJA HAKIJAPIMWA, ILA HAKINA MGOGORO NA MWENYE KIWANJA YUPO JIRANI.
BEI...
Shamba lenye ukubwa wa eka 50 linauzwa katika kijiji cha Mafuru kilichopo ndani ya wilaya ya mvomero Morogoro. Kila heka ni tsh laki NNE tu, ukinunua unapewa hati ya kijiji. Ukihitaji heka chache...
Kusema kweli nimeshafanya biashara na wakuu humu walio serious kwenye JF matangazo, ila sasa tumevamiwa humu, na Akina moderator watu wanajua hilo.
Tunatangaza biashara ila watu hawako serious...
True Ink Associates would like to Announce that the Fifth CISA
(Certified Information Systems Auditor) Review Class is scheduled
to commence on Monday 11/01/2016, Dar Es Salaam City Center...
Eneo la kiwanja linauzwa mbezi shamba (goba)lina upana wa miguu 20 na urafu 15,limwjengwa vyumba viwili na halipo mbali na barabara umeme upo,kwa atakayehitaji eneo lina nyaraka zote na sababu ya...
Habari wana Bodi
Mashamba yanauzwa Mikese Morogoro.
2 km kutoka barabara kuu
Bei: laki saba (700,000) kwa ekari 1.
Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872
Tunahitaji kampuni yenye malori semi trailers, truck and trailers 32 tons to 36 tons @ kwa ajili ya kusafirisha cement kuanzia leo 18/02/2016 hadi mwisho wa mwezi huu
Dar es salaam to...
Hi everyone ,
Natafuta Suplier wa cookies zitakazotumika kwenye meetings /Vikao vya bodi n.k
Nchek inbox Kama unaweza hii kazi au una kampuni ya ku supply kila mwezi njoo inbox tuelewane
Kuwa na website yako kwa ajili ya biashara, taasisi au wasifu wako kwa sasa ni rahisi zaidi. Kwa 20k pesa ya Kitanzania unaweza kuhost website yako kwa mwezi mzima. Hakuna gharama za ziada wala...
Salaam ndugu zangu wana JF labda zaidi wa Mtwara!
Nahitaji nyumba ya kupanga(nzima/yote), Mtwara mjini haswa karibu na maeneo zilipo Lodges/Guest houses .
Mkataba wa miaka 3-5. Hata kama ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.