Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu Nna shida ni hivyo vitu viwili na budget yangu ni kama ifuatavyo Ps2...120k Flat tv...150k (iwe na hdmi port) Kama una yoyote kati ya hivyo unakaribishwa Nnaweza ongeza pesa kidogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipo Mbeya,nahitaji samsung phones nibadilishane na HTC yangu dual 526g,hasa s4 itakuwa poa sana au yeyote tu.
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Wana nzengo nahitaji gari ambalo mtu ameshatumia walau mwaka au miaka 2 na anahitaji kuliuza, ili na mm nijibanze humo, mfano paso na gari mfano wa hizo toyota ist na kadhalika Kwa mwenye taarifa...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Jaman habar zenu nipo seriouz natafuta wauzaji wa maziwa kwa bei ya jumla, iwe ni kutoka mkuranga au rufiji nsaidien jaman.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza account za adsense hosted and non hosted,pia ninatoa huduma za kuifanya blog yako iweze kuindex kwenye search engines kwa haraka zaidi. Pia tunauza templates ambazo ukiweka kwenye blog yako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lipo Kimazichana (mbele ya Mkuranga), Km 1 kutoka main road. Lina miembe kadhaa na jengo la vyumba vitatu ambalo halijakamilika. Bei milioni 40 tu..maongezi yanakaribishwa. ☎ 0628403078
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anayetafuta ajira au kipato cha ziada. Kampuni ya Four Corners Alliance Group inakupa fursa ya kuanzisha biashara yako kwa mtaji wa tsh 40,000 tu. Mafunzo yanatolewa bure. Kwa mawasiliano piga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maker : TOYOTA Model : LAND CRUISER PRADO Manufactured year/month 2013/7 Mileage : 51,000km Engine size : 2,690 cc Fuel : Gasoline/Petrol Steering : right Transmission : Automatic Drive ...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Suzuki Swift 2004 for sale only at Ads - Cars & Motocycles - Suzuki Swift 2004
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Kina ukubwa wa mita 23 upana na mita 38 urefu.Huduma zote maji na umeme zipo.Kipo sehemu nzuri yenye usalama wa kutosha.Hakijapimwa,jinsi ya kufika:ukitokea Bagamoyo Road maeneo ya Mbuyuni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Maker : TOYOTA Name : RAUM Manufactured year/month : 2005/1 Mileage : 84,000km Engine size : 1,490 cc Fuel : Gasoline/Petrol Steering : Right Transmission : Automatic Drive : 2WD Exterior...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naita suzuki swift namba hiwe C au vitz new model bei 5.5mill na pia naitaji vitz old model namba B bei 4.5mill ziwe Dar Es Salaam Simu 0712690760 au 0755984282
0 Reactions
0 Replies
825 Views
GARI CRESTA GX100 IPO VIZURI NA KULIPIWA VIBALI VYOTE TAYARI KWA MATUMIZI ..KWA ALIYE TAYARI SERIOUS CUSTOMERS ANICHEK HEWANI 0717 659 926 ..LOCATION NI DAR ES SALAAM ..KARIBU, BEI NI 4.5 MIL
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wadau naomba niwaleteeni habari njema,juu ya ujenzi bora wa majengo yenu kwa kutumia bidhaa bora za aluminum, stanless steel na vioo kutoka CADASP. Sisi ni class one company ktk kusupply...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji king'amzi hicho ila kiwe cha dish sio antena. Alie tayari anisanue kwe 0783881828
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu nahitaji king'amuzi cha startimes nina elfu ishirin uwe moshi au arusha au hata pengine nipm pls
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mwaka 2012 nilikwenda nchini Oman ambako nilinunua Flat TV 42" aina ya LG Model LM5800. Mwezi Februari 2016 TV hiyo imeharibika, Unapoiwasha na kuonesha vizuri kama Dakika 15 hivi, picha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya ifakara uwanja wa taifa karibu na Birgith english medium school. Iko katka hali nzuri Ina vyumba 3 vya kulala+ sebure+ dinning+store 20million Call 068 301 0560 kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajukwaa!! Leo ni mara yangu ya kwanza kuchangia kwenye uzi huu, sijawai kuwa na masihara na wala sijulikani kwa sifa hiyo....ila nina jambo muhimu ambalo kwa atakayeona inamfaa na kumpendeza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaji laptop iwe nyembamba sana, used au mpya halimradi isiwe na bei kubwa sana. Internal storage 500gb. Sitaki MacBook jaman mm mkulima, nitafute hapa 0789095484. Rangi nyeupe, nyekundu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom