Habari wakuu
Nna shida ni hivyo vitu viwili na budget yangu ni kama ifuatavyo
Ps2...120k
Flat tv...150k (iwe na hdmi port)
Kama una yoyote kati ya hivyo unakaribishwa
Nnaweza ongeza pesa kidogo...
Wana nzengo nahitaji gari ambalo mtu ameshatumia walau mwaka au miaka 2 na anahitaji kuliuza, ili na mm nijibanze humo, mfano paso na gari mfano wa hizo toyota ist na kadhalika
Kwa mwenye taarifa...
Nauza account za adsense hosted and non hosted,pia ninatoa huduma za kuifanya blog yako iweze kuindex kwenye search engines kwa haraka zaidi.
Pia tunauza templates ambazo ukiweka kwenye blog yako...
Lipo Kimazichana (mbele ya Mkuranga), Km 1 kutoka main road.
Lina miembe kadhaa na jengo la vyumba vitatu ambalo halijakamilika.
Bei milioni 40 tu..maongezi yanakaribishwa.
☎ 0628403078
Kwa anayetafuta ajira au kipato cha ziada.
Kampuni ya Four Corners Alliance Group inakupa fursa ya kuanzisha biashara yako kwa mtaji wa tsh 40,000 tu.
Mafunzo yanatolewa bure.
Kwa mawasiliano piga...
Kina ukubwa wa mita 23 upana na mita 38 urefu.Huduma zote maji na umeme zipo.Kipo sehemu nzuri yenye usalama wa kutosha.Hakijapimwa,jinsi ya kufika:ukitokea Bagamoyo Road maeneo ya Mbuyuni...
naita suzuki swift namba hiwe C au vitz new model bei 5.5mill
na pia naitaji vitz old model namba B bei 4.5mill
ziwe Dar Es Salaam
Simu 0712690760 au 0755984282
GARI CRESTA GX100 IPO VIZURI NA KULIPIWA VIBALI VYOTE TAYARI KWA MATUMIZI ..KWA ALIYE TAYARI SERIOUS CUSTOMERS ANICHEK HEWANI 0717 659 926 ..LOCATION NI DAR ES SALAAM ..KARIBU, BEI NI 4.5 MIL
Ndugu wadau naomba niwaleteeni habari njema,juu ya ujenzi bora wa majengo yenu kwa kutumia bidhaa bora za aluminum, stanless steel na vioo kutoka CADASP. Sisi ni class one company ktk kusupply...
Wakuu mwaka 2012 nilikwenda nchini Oman ambako nilinunua Flat TV 42" aina ya LG Model LM5800. Mwezi Februari 2016 TV hiyo imeharibika, Unapoiwasha na kuonesha vizuri kama Dakika 15 hivi, picha...
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya ifakara uwanja wa taifa karibu na Birgith english medium school. Iko katka hali nzuri
Ina vyumba 3 vya kulala+ sebure+ dinning+store
20million
Call 068 301 0560 kwa...
Wanajukwaa!! Leo ni mara yangu ya kwanza kuchangia kwenye uzi huu, sijawai kuwa na masihara na wala sijulikani kwa sifa hiyo....ila nina jambo muhimu ambalo kwa atakayeona inamfaa na kumpendeza...
Nahitaji laptop iwe nyembamba sana, used au mpya halimradi isiwe na bei kubwa sana. Internal storage 500gb. Sitaki MacBook jaman mm mkulima, nitafute hapa 0789095484. Rangi nyeupe, nyekundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.