Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza samsung s2 kwa laki na 10 ina 16gb na 8mp nchek 0759022981 kama upo interested. .nipo kino
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Wakuu , tunatafuta Trailer yeyote Semi trailer(35 tons) au pulling trailer (25 tons) ya kununua bila kichwa(horse) used ilioimara hasa ya spring hata ya booster tutafikilia, - iwe ina...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa ARUSHA MJINI TU anae hitaji maziwa fesh ya ng'ombe kuanzia lita50-100 kwa shilingi 1300 kwa lita anitafute 0759547047.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nimekuwa nikijiuliza sana kuhusiana na hizi dawa za ngvu za kiume zinazotangwa kila kukicha ktk magazeti hasa ya udaku na michezo.. " DAWA HII KILELENI KWA DAKIKA 30" kuutafuta mshindo wa kwanza...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaam...wadau nauza gari hii GX100..1998 Model special edition.Iko katika hali nzuri sana.Body kit na trip tonic gear,sun roof..DVD na mziki mkubwa.Bei 5.6.Mawasiliano 0659300000m
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu 0769881984.0783085858.0715075858
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
cisco router 2811 series with 2 FE port (FE 0/1 & FE 0/0) Bei; 700usd
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Kwa yeyote anaejua muuzaji au anauza leather skiving machine anijuze. Number 0719616585
0 Reactions
0 Replies
783 Views
kama kichwa cha habari kinavyojieleza, wanyama hao wanahitajika tayari kwa kufugwa mkuranga, mkoa wa pwani 0629141259
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu!!! Hivi karibuni niliibiwa adapter ya Laptop aina ya ASUS MODEL X200MA...output ya adapter ni 19V DC, 1.75A, 33W. Anaye jua wapi naweza pata adapter hii please naomba ani pm. Maana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu salaam, kama kichwa cha habari kinavyoeleza, tafadhari kama kuna mtu mwenye game ya gta 5 naomba tuwasiliane nina shida nayo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Fuull picha kama zilivyo Location:tegeta ununio All docs zinapatikana eg hati Na inaruhusiwa kuja kuziangalia na kuhakiki Bei 550mil & price negotiable Kwa mawasiliano Piga 0655730921 kwa taarifa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Make : TOYOTA Model : RAV4 Mileage : 117000km Engine size : 2360cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : four wheels drive (4WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ex. Color : Silver...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Picha kama zilivyo Bei usd 260000/550mil For more info call 0655730921 Shomari Hati zipo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe chini ya mil5 4wd Mwenye nayo anitumie picha whatsap 0759292980
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza Vifaa Vyote Vya Shooting Vipo Morogoro Taa! Stand! Piga 0712988560 au 0786143441.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
.Tigopesa sh190,000. .Selcom machine sh270,000 .Photocopy canon 2420 image runner sh 1.7mil. Imetumika kidogo na bado ni mpya. .Pia kuna stationeries mbalimbali zinauzwa. .kiufupi nilikuwa na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hello, kama kichwa cha habari kinavyosema. order ni lazima iwe zaid ya trei 50 au 100. bei ni 7500/= pamoja na usafir ulipo, ni ndani ya dar es salaam tu. malipo ni cash. only serious people...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Nauza sabuni za maji, nzito zenye pozi na zinazotengenezwa na mjasiriamali wa kiTanzania. sabuni hizi zipo katika ujazo wa lita 1 bei 2000 na lita 5 bei 8000. Sabuni hii inafaa kufulia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom