Niuzie Bajaji Used Yenye Hali Nzuri

Niuzie Bajaji Used Yenye Hali Nzuri

Mangi wa Rombo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
207
Reaction score
144
Habari wadau!

Natafuta bajaji iliyotumika yani used ambayo bado ipo kwenye hali nzuri. Budget yangu ni 3.0mil..
Tafadhali kama unayo ama kuna mtu anayo na unamfahamu niunganishe nae!

+255-768-639-604 (WhatsApp Available)

Thank You in advance!
 
Habari wadau!

Natafuta bajaji iliyotumika yani used ambayo bado ipo kwenye hali nzuri. Budget yangu ni 3.0mil..
Tafadhali kama unayo ama kuna mtu anayo na unamfahamu niunganishe nae!

+255-768-639-604 (WhatsApp Available)

Thank You in advance!
kuna jamaa anabajaji ni mpya na new model inamiezi miwili tu toka anunue anashida na pesa anaiuza kwa hasara ila bado hajaiweka sokoni mcheki WhatsApp 0717473725
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom