Contacts plz, weka na vipicha mkuu.Shamba lenye ukubwa wä jumla ekari 13 ambalo limepandwa miti ya paini ekari 8 na ekari tano limepandwa mlingoti. Hyo miti inaumri wa miaka5 na unauziwa miti pamoja na ardhi million 30. Shamba liko Mufindi~mgololo, kwa wanaohitaji tuwasiliane
Jampilo## ntafutie mtejaContacts plz, weka na vipicha mkuu.