Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna vyombo vya aina mbalimbali kama vile (mashine ya kuchanganya na kupoza juis, jiko kubwa la kuchomea nyama, jiko kubwa la gesi kwa ajili ya kukaangia chips pamoja na mtungi wake, masufulia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndugu wana JF najua humu ndani kuna watu wana magari ya zamani. Natafua magari yafuatayo: DATSUN 120Y AU DATSUN 160J.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Pata Viwanja vilivyo pimwa na visivyo pimwa kwa Bei Nafuu zaidi, umbali ni kilometer 18 adi 22 kutoka Ferry upande wa Bahati siyo upande wa dar es salaam zoo. Bei ni kuanzia million 3.5...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wengi wamegundua wallpapers ndo mpango Nyumba inakua na muonekano amazing Zipo za kutosha sasa tunakufikia mteja with Upana 0.53cmx10m=55,000tshs Jumla 50,000tshs Call/whatsap #0713691101 /...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, tafuta line za tigopesa na mpesa. PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wanajukwaa....natafta kifaa cha umeme ila sikijui jina lake...nitaeleza kazi yake kisha mnaojua naomba mnijuze jina lake na kama inawezekana...wapi naweza kukipata kwa dsm. Kifaa hiki...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Tunauza tofali bora na imara, unaletewa hadi site kwa Dodoma mjini tu. Bei ni sh. 1000 @. mawasiliano 0786 250408
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Kwa anaependa kupendeza na madini ya ya silva nna cheni, bracelet na pete vyote vya silva Vyote kwa jumla vina gram 22 Bei 120,000 Tsh 0714437555
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nina uhitaji wa laini za M-pesa na T-pesa nahitaji kununua kwa m2 maana mchakato wa Tin na lesseni kidogo utanichelewesha
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mwenye nokia n8 au n900 naitaka alionayo anicheki kupitia 0625774881
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Nina kuku wa nyama nauza bei maelewano ni kutokana na wingi wa kuku utakaochukua ila kuku wanaukubwa wa wiki sita wapo kuku zaidi ya 500 na bei inaanzia 5500 mpaka 6000 wapo dar Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kipo eneo la mji mdogo wa kikatiti, Barabara ya Arusha-Moshi ni baada ya kupita maji ya chai kama unaelekea Moshi. Kina ukubwa wa 748 sqm( 22x34m). Kipo mita 400 kutoka Barabara Kuu. Maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza bati za kupaulia nyumba zilizo imara na zisizopauka kutoka kampuni za Alaf, Dragon,Sun share na Afrina, call 0713283760
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba la ekari tatu linauzwa lipo Kidai Mlandizi, bei ni million tisa halina mazao.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Natafuta sehemu ambapo nitanunua korosho kwa bei ya jumla hapa Tanzania
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari Kuna gari linahitaji kuingia ubia wa kupakwa rangi gari kwa ajili ya matangazo ya biashara kutoka kwenye kampuni Tanzania kwa mwaka
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninauza fujitsu laptop AH531 Lifebook Windows 10 -Processor: Intel(R) Core(TM) i5-2410M CPU @ 2.30GHz -RAM; 4.00GB -Dsck; 500GB -System type; 32-bit Operating System x64-based processor Ipo...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Wengi wamegundua wallpapers ndo mpango Nyumba inakua na muonekano amazing Zipo za kutosha sasa tunakufikia mteja with Upana 0.53cmx10m=55,000tshs Jumla 50,000tshs Call/whatsap #0713691101 /...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale ambao wanauza laptop naomba kujua plz na pia wekeni sifa za laptop ya hali nzuri Pia nataka kununua RAM napataje ndugu maana nataka ya GB 1000 yaan Terra bite 1
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Samsung j5 350000 Samsung s4 350000 Huawei p8 light 370000 Samsung j1ace 170000 Samsung s5 450000 IPhone 6s M1.2 Kwa biashara Text/call/whatsapp me (0673260293)
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom