Wapendwa,
Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane...
Nyumba inapangishwa ipo Kijitonyama karibu na mabatini Police Station. inavyumba 3 kimoja master b/room kubwa ya ukweli. Kodi ni 600,000 kwa mwezi. Kwa mawasiliano piga 0759888018
Vunja bei ushindwe mwenyewe kuipenda nyumba yako
Pia nafanya decoration majumbani
Niite nitakuja kukupendezeshea nyumba yako
Tunapazia nzuri na za kisasa kwa bei sawa na bure
Tupe vipimo vya...
Mark Group International Owns a number of Hotels & Real Estates across the Country..Now we have office units available at Haidery Plaza building(Posta Mpya)( www.markgroupinternational.com )...
kuna Nissan X Trail iko Z'bar for now inauzwa Tzs 12Million. Mwenyewe aliingiza Nov last year likiwa jipya. Nicheki hapa 0712016405. Kama picha hazionekan vzr nitakutumia nyingine whatsapp. Kama...
Wadau nawasilisha kwenu.
Jamaa yangu nipo naye ofisi moja anahitaji kuuziwa chombo cha usafiri pikipiki aina yoyote isipokuwa Jamii za mchina kama Sunlg, toyo nk, but kama ni India products kama...
Dryfix ni diapers na wipes kutoka Turkey zenye quality ya hali ya juu na salama kwa mtoto... Mama anae mjali mwanae anamvalisha diapers za Dryfix na kumfanya mwenye furaha wakat wote.
Jinsi ya...
Salam wadau...nahitaji vertical blinds za dirisha la ofisini kama kuna mtu anajua naweza pata wapi au anafanya shughuli hii pls tuchekiane.Namba ni 0689900000
kipo morogoro -mazimbu road mkabala na kota za lapf kama sio nssf.
kina tofali elfu 10 na lori tano za mawe.
bei ni 8,500,000 za kitanzania ukubwa ni mt 33 kwa 33 kwq 55 kwa 14 kwa 22 chora chini...
Habari ya Jumamosi Wana JF
Wadau gari ipo arusha, ninachotaka kufanya ni ku exchange, ila utaniongezea pesa kidogo kama kichwa kinavyojieleza..
Asanteni
WAKUU mwenye ufahamu kuhusu madini YA GALENA, naomba unipe mwangaza katika haya
1. soko lake liko wapi? ntapata wapi soko?
2. kama unamfahamu mnunuzi mkubwa?
Tafadhari nahitaji msaada wenu wakuu
Nipo dar ,Nina ipad3 zipo mblili moja black na moja white zipo kwenye hali nzuri hazijatumika hata mwezi mmoja..
zinatumia wifi \
Black-64gb nauza laki5
white 16gb nauza laki4
0755801248
Nyumba ipo Boko kituo cha chama au CCM, nyuma ya kanisa katoliki. Nyumba nzuri ndani ya wigo wenye waya za usalama, geti la kupendeza. Nyumba ina vyumba 4, one master bedroom, good parking lot for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.