Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wapendwa, Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane...
1 Reactions
0 Replies
995 Views
wadau naulizia hivi hii machine ya kutengeneza ice cream soft sever inauzwa bei gani dukani
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Nyumba inapangishwa ipo Kijitonyama karibu na mabatini Police Station. inavyumba 3 kimoja master b/room kubwa ya ukweli. Kodi ni 600,000 kwa mwezi. Kwa mawasiliano piga 0759888018
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nipigie kama una kontena la 20feet, ofa 1,500,000 bei inaweza kuongezeka kulingana na ubora wa kontena lenyewe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana Bodi Nauza line za MPESA na Tigo Pesa. Mwenye kuhitaji ani PM Asante.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Vunja bei ushindwe mwenyewe kuipenda nyumba yako Pia nafanya decoration majumbani Niite nitakuja kukupendezeshea nyumba yako Tunapazia nzuri na za kisasa kwa bei sawa na bure Tupe vipimo vya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
iPhone 4 nauza.ni orijino kabisa,0714890195. Na watsaapp 0753377317. Bei 200000
0 Reactions
4 Replies
871 Views
Nahitaji copy original 50 mpaka 100 za katiba ya Tanzania ya mwaka 1977 lugha ya kiingereza, ni pm bei. Nipo Dar.
0 Reactions
0 Replies
409 Views
Mark Group International Owns a number of Hotels & Real Estates across the Country..Now we have office units available at Haidery Plaza building(Posta Mpya)( www.markgroupinternational.com )...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapi naweza pata hizi bearing mpya niko dar
0 Reactions
0 Replies
688 Views
kuna Nissan X Trail iko Z'bar for now inauzwa Tzs 12Million. Mwenyewe aliingiza Nov last year likiwa jipya. Nicheki hapa 0712016405. Kama picha hazionekan vzr nitakutumia nyingine whatsapp. Kama...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wadau nawasilisha kwenu. Jamaa yangu nipo naye ofisi moja anahitaji kuuziwa chombo cha usafiri pikipiki aina yoyote isipokuwa Jamii za mchina kama Sunlg, toyo nk, but kama ni India products kama...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Dryfix ni diapers na wipes kutoka Turkey zenye quality ya hali ya juu na salama kwa mtoto... Mama anae mjali mwanae anamvalisha diapers za Dryfix na kumfanya mwenye furaha wakat wote. Jinsi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam wadau...nahitaji vertical blinds za dirisha la ofisini kama kuna mtu anajua naweza pata wapi au anafanya shughuli hii pls tuchekiane.Namba ni 0689900000
0 Reactions
3 Replies
767 Views
kipo morogoro -mazimbu road mkabala na kota za lapf kama sio nssf. kina tofali elfu 10 na lori tano za mawe. bei ni 8,500,000 za kitanzania ukubwa ni mt 33 kwa 33 kwq 55 kwa 14 kwa 22 chora chini...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ya Jumamosi Wana JF Wadau gari ipo arusha, ninachotaka kufanya ni ku exchange, ila utaniongezea pesa kidogo kama kichwa kinavyojieleza.. Asanteni
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ram 4gb hdd 300 camera wifi bluetooth 0757247723
0 Reactions
10 Replies
1K Views
WAKUU mwenye ufahamu kuhusu madini YA GALENA, naomba unipe mwangaza katika haya 1. soko lake liko wapi? ntapata wapi soko? 2. kama unamfahamu mnunuzi mkubwa? Tafadhari nahitaji msaada wenu wakuu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nipo dar ,Nina ipad3 zipo mblili moja black na moja white zipo kwenye hali nzuri hazijatumika hata mwezi mmoja.. zinatumia wifi \ Black-64gb nauza laki5 white 16gb nauza laki4 0755801248
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba ipo Boko kituo cha chama au CCM, nyuma ya kanisa katoliki. Nyumba nzuri ndani ya wigo wenye waya za usalama, geti la kupendeza. Nyumba ina vyumba 4, one master bedroom, good parking lot for...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom