Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza playstation 2 zipo 6 na tv chogo zipo 6 Playstation zina pad mbili kila moja jumla pad 12 za mtumba nzuri kwa biashara Playstation zipo kwenye mfumo wa kutumia flas Playstation zina...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Tigopesa 250000 Mpesa 150000 Airtel 95000 Zipo active nikuchukua na kuanza kazi 0712 191251 Blessed
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Eneo ni Mita 20 kwa 20 = 400 square meter, kuna nyumba inajengwa Ina vyumba vitatu kimoja ni masterroom Ina jiko Ina choo Ina sebule Nyumba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello JF members I'm selling car with the following details 1. Make: Toyota 2. Model: Mark 11 3. Body type: Saloon 4: colour: Silver 5. YoM: 2002 6. Engine type: 1JZX 7. Engine cc: 2490 8. Fuel...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Michepuo iliyopo ni PCB,PCM,CBG NA HGL. Kwa wale wenyeji wa Musoma waweza kufika shuleni kuchukua form wenyewe. Shule ni ya kikatoliki na ina sifa zote,bweni kwa wasichana na wavulana,kuna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TUTUMIE RASILIMALI YA GESI NA PETROLI KUINUA KILIMO Kwanza tumshukuru mungu kwa kuwa tumezaliwa katika nchi nzuri ya Tanzania yenye amani na utulivu, nchi ambayo watu wake ni wakarimu...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Nyumba ipo ubungo kwa bondia, mahali ilipo, ubungo darajani ukifika land mark hotel unavuka bara Bara pia kuna Gari zinazo Enda ubungo kwa bondia, nyumba ipo karibu na barabara na eneo ni lina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
9 22:06 Yesterday INAKUAJE WANA JF..!! Natafuta simu ya ukweli ambayo ipo kwenye hali nzuri.! Na iwe android.. Amount yangu ni 100,000/=. Hyo ndo ammount yangu... My number 0785673240
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Heshima mbele wadau, Nina shida ya chumba cha kupanga "single" maeneo ya Sakina Arusha au nyuma na Tripple A Club au upande wa chini maeneo ya " Tellamande lodge au "Nyumba ya blue" along Namanga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya frem za biashara maeneo ya Manzese, Mabibo, Riverside au Ubungo Dar es salaam piga 0716535134 pia kama unahitaji gari ya kununua hapa umefika.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kiwanja halali kabisa sqm 1700 kipo chanika buyuni,maji,umeme, barabara uhakika makutano ya njia mbili,jirani tayari ameshajenga ukuta,Kipo karibu na PSPF project , 0.8 km kutoka kwenye barabara...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
TUTUMIE RASILIMALI YA GESI NA PETROLI KUINUA KILIMO Kwanza tumshukuru mungu kwa kuwa tumezaliwa katika nchi nzuri ya Tanzania yenye amani na utulivu, nchi ambayo watu wake ni wakarimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie set yenye shuka 1, duvet 1, foronya 2. Size 6×7.2 Bei 100000 tu. Mkoani unatumiwa, ila gharama za usafirishaji ni zako. ni 15000-20000. Lala pazur upate nguvu ya kutafuta kesho msimu...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Nill
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nita kutengenezea website unayotaka ndani ya siku 5 na kuiweka hewani (hosting done in american servers therefore always available/reachable online) kwa miaka miwili: Tsh. 450,000 neg Contacts...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Habari wakuu Nahitaji shamba au kiwanja barabarani au karibu na barabara ya lami wilaya ya Bagamoyo au Kibaha. Mwenye nacho ani pm bei na size. Whatsapp 0685085378
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kichwa cha habar kinahusika.. ina gb 16 haina camera.. inatumia line ndogo.. ipo iringa NB. BEI HAIPUNGUI
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nipo hapa dar ingia uni pm nakutafuta leo leo tufanye kabizness
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NATENGENEZA VYOTE KWA KIZUNGU....! PROFFESIONAL WORLD WIDE STANDARD CV - CURRICULUM VITAE (Tsh. 10,000) CONTRACTS/ MIKATABA- Tsh. 50,000 BUSINESS CARD - Tsh. 5,000 NAKUTENGENEZEA YENYE MVUTO NA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom