Kama kichwa cha habari kinavyosea nahitaji producer wa kunifundisha jinsi ya kurecord vocal na kufanya mixing(mastering) awe ni wa mwanza maana ndo naweza kua nakwenda kwa urahisi
Habari wadau, ninazo stainless steel kwa ajili ya matumizi kwenye hospital, catering na kazi za utafiti. Kila moja bei yake ni shs 15,000. Mwenye uhitaji anaweza kuwasiliana na mie whatsapp yangu...
Ninasafirisha na kuuza (bei ya jumla) samaki aina ya sangara kutoka mwanza kwenda mikoa ya Shinyanga, Singida, Dodoma, Morogoro na Dar es salaam
Bei ni Sh 5,500 kwa kilo
Kiwango cha chini...
Niko Arusha sombetini ngusero nauza mchele na karanga kwa bei ya jumla karibuni kwa huduma zangu ujipatie bidhaa bora yenye thamani ya pesa yako wajulishe ndugu jamaa na marafiki wakazi wa Arusha...
Ninahitaji banda la biashara (Vinywaji na Chakula) katika viwanja vya maonyesho vya Sabasaba; Je nifuate utaratibu upi niweze kupata? na kama kuna anayejua gharama zake nitashukuru pia.
Habari za asubuhi ndugu zangu. Natafuta shamba la kukodisha ili nifuge kuku. Liwe la hekari tatu, pia liwe Dar au nje ya Dar (Pwani) ila isiwe mbali na Dar es salaam. Mwenye nalo aniPM tafadhari...
CDS ni kampuni ya usafirishaji na usambazaji wa mizigo iliyojipatia umaarufu duniani kulingana na kufikisha huduma popote muhusika alipo yaani door to door services.Huku ikishirikiana na kampuni...
TRACTOR ZINAUZWA
tractor zinauzwa zipo katika hali nzuri karibuni
MASSEY FERGUSON 178 bei ni milioni 19.5 tsh
FORD 4000 bei ni milion 17.5 tsh.
zipo Mbweni, Daresalaam
mawasiliano zaidi 0714242879
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.