Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza Microsoft Lumia 535 kwa tsh 190,000 it is in good condition, interested buyer contact me on 0717546885 NB: Price is fixed
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Inaizwa kwa bei ya 12.5 million Piga simu namba 0673260293
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu bado mpya na iko na makaratasi imetumika wiki moja. Bei 200000/= Mawasiliana 0624119150
1 Reactions
0 Replies
805 Views
Nyumba yenye vyumba 3, kimoja Masterbedroom, public toilet ndani, kitchen, library, dinning, sitting room. Pia kuna umeme na maji, Barbara mpk nyumbani. 15 minutes to Mwanza town. Nyumba iko nyuma...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Natafuta nokia torch original used nina 20,000 nipo Dodoma! Mwenye iyo simu anichek pm
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Kwa Mahitaji yako ya Ufungaji Mziki wa Gari yako Hapa town pamoja na upambaji mzima,waone•••••@pimp_your_car_ Kule Instagram,uone maajabu• wao wana Android Car...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Nauza Fuso Mignon Tipper ipo katika hali nzuri sana.Tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei Tshs Mil 22 na mazungumzo yapo.Gari ipo DSM mbezi temboni.Simu no 0715/0754 472 414 na whatsup 0783...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza gari aina ya Fuso mignon Tipper ipo ktk hali nzuri ina tairi zote mpya na vibali vyote vipo hai.Bei ni Tshs mil 22 na mazungumzo yapo Gari ipo mbezi temboni.Kwa simu no 0715/0754 472 414...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Shamba lenye ukubwa wä jumla ekari 13 ambalo limepandwa miti ya paini ekari 8 na ekari tano limepandwa mlingoti. Hyo miti inaumri wa miaka5 na unauziwa miti pamoja na ardhi million 30. Shamba liko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tumewaletea mitego ya kunasa mbu inayotumia umeme na kukufanya ulale bila bugudha ya mbu, huna haja ya kuweka net, mitego hii haina athari kiafya kwni hakuna kemikali inyotumika ni umeme tu...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Jamaniii...nauza vitunguu saumu bado vinatolewa shambani....possible adi sasa nataraji kufikisha gunia mia moja na tano...tafadhali tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wote wanaohitaji Tattoo wanicall at 0719 072406
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini Wadau Kuna nyumba mbili nzuri zipo Arusha mjini,eneo la Ilboru,mita 250 tu kutoka barabara kuu ya Arusha-Moshi. -Nyumba mojawapo ni ghorofa yenye vyumba vinne vya kulala (master...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau! Natafuta bajaji iliyotumika yani used ambayo bado ipo kwenye hali nzuri. Budget yangu ni 3.0mil.. Tafadhali kama unayo ama kuna mtu anayo na unamfahamu niunganishe nae...
0 Reactions
5 Replies
919 Views
Flash za simu: ni flash ambazo unaweza kutumia katika simu/ computer kwa urahisi sana Zipo 8.0GB kwa 20,000tzs tuu Jumla ni 17,000tzs - kuanzia 5pcs #0712888884 kwa maelezo zaidi Tupo #QualityCentre
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Sabakher Wadau; Nimetangaza Juz Nauza Complete Set Ya Video Shooting! Taa! Camera! Na Stand! Mpaka Leo Hamjajitokeza Njoon Bas Nataka Kuuza Fasta! Nahama Mkoa! Vyote Nichangie 250,000/= Tu...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza samaki wabichi aina ya sangara kwa jumla na rejareja,bei ya jumla ni sh.5500 kwa kilo. Hii ni kuanzia kg 5 na kuendelea. Kwa rejareja ni sh. 6500 kwa kilo. Hii ni kuanzia nusu kilo hadi kilo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Make : TOYOTA Model : Crown Mileage : 97000km Engine size : 2500 Fuel : Gasoline/Petrol Drive : two wheels drive (2WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color : Silver...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leather factory for sale in Shinyanga. It's closed and is scheduled to be auctioned on the 10th of April. Total size: 12 acres Price: USD 7 Million Serious buyers should send me an email for...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
BlackBerry z10 inauzwa Internal memory 16 GB Camera 8 Megapixels Front Camera 2 MP RAM 2 GB Ipo in very good condition haina tatizo lolote. Bei 200,000 (Maelewano yapo) Nipigie/nitext kwenye...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Back
Top Bottom