Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa anayefahamu bei na gharama za kununua Ice block machine iliyo na uwezo wa kugandisha kg 1000, kwa hapa Tanzania au nje anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
840 Views
imevunjika kioo naomba msaada wa kioo haswa ndani ya Tanzania kwa bei na maelezo zaidi 0752464548
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata simu kwa bei poa kabisa Samsung Galaxy S3-350k S4-395k S5-496k S6-1.24m S6 edge - 1.55m S6 edge plus - 1.78m Samsung Galaxy Note 1-292k Note 2-393k Note 3-532k Note 4-750k Note...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Wakuu Habarini Za Majukumu! Nauza Power Inverter Yangu. Haina tatizo lolote, wala haijawahi sumbua, Nilikuwa Naitumia Kuwasha Bulb 2 Tu. Sikuwa Na Solar Panel Ila Nilikuwa Natumia Kwenda Kuchaji...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
hekari mbili na zipo tayari kwa kupasua mwaka huu miti ya miaka 7, pia ninaekali kumi miti ya miaka mitatu pia naliuza, mashamba yapo mafinga Iringa umbali wa km 30 toka barabara kuu (dar -...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wote, Viti vya hiace/Nissan (daladala) vinahitajika viwe vipya/hali nzuri. Nina gari Nissan ambalo halina viti vya abiria. Napatikana Arusha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama jibu lako ni ndiyo basi usisite kunitafuta whatsapp kwa namba hii 0673-659759 nikuongezee idadi yoyote ya followers unaohitaji hata ukitaka followers laki moja (100k) nitakuongezea but...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji keyboard ya laptop hiyo. Nipo Moshi. kama unayo au unafahamu wapi nitapata kwa arusha au Moshi, nifahamishe bei na ulipo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Promotional Price 188,000/= -New Tablet Pc Dual sim cards with phone calling function -OS: Android 5.1 Current Android version - RAM 1GB/8GB ROM -Network connections: Built -in- 3G...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
1. Lodge mpya kabisa iko mita 50 kutoka barabarani ina eneo la ukubwa robo tatu ekari inauzwa sh.500m.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina dume hapa na kufungiwa linaonekana limezidiwa Nahtaj jike kama ni mdogo mdogo ingependeza zaidi Nimfuge mpaka awe mkubwa ndo niwachanganye Mbwa wa kiswahli tu hawa wa kawaida Kama upo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Gari tajwa on sale.. Km 40000 Namba B Bei 5.7m Gari iko vizuri sana haina tatizo lolote na imelipiwa vibali vyote mpaka February 2017 Nicheki 0783380123
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada:Natafuta wanapo uza kabati za nguo zilizo tengezezwa kwa chuma jiini dsm?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wasalaam wanaJF, Nahitaji msaada tutan kwa mwenye kujua wap naweza kupata hizo accounting software nilizotaja hapo juu au kama unayo hata mojawapo kati ya hizo,nazihitaji mwenyewe na sio kampun...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nauza mayai trei ni tsh 6350. napatikana dar kinondoni- 0788812958
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mistubishi pajero io ya 1999 inauzwa. Ipo kwenye hali nzuri sana na inauzwa ml 7. Maelewano yapo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0759128222. karibuni wote
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kampuni ya TANZ-ICE ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya sherehe, mahafali, matamasha, na watu binafsi, barafu ni makubwa na magumu kuyeyuka,yanapatikana kwa wingi. Tunatumia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Daladala Nissan homy van -diesel -17 passengers -in a good condition fixed price 8.5m
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwenye kujua naweza kupata wapi 50 mL volumetric flask naomba anisaidie nahitaji 30 pcs haraka sana.
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Back
Top Bottom