Wakuu Habarini Za Majukumu!
Nauza Power Inverter Yangu. Haina tatizo lolote, wala haijawahi sumbua, Nilikuwa Naitumia Kuwasha Bulb 2 Tu. Sikuwa Na Solar Panel Ila Nilikuwa Natumia Kwenda Kuchaji...
hekari mbili na zipo tayari kwa kupasua mwaka huu miti ya miaka 7, pia ninaekali kumi miti ya miaka mitatu pia naliuza, mashamba yapo mafinga Iringa umbali wa km 30 toka barabara kuu (dar -...
Heshima kwenu wote,
Viti vya hiace/Nissan (daladala) vinahitajika viwe vipya/hali nzuri.
Nina gari Nissan ambalo halina viti vya abiria.
Napatikana Arusha.
Kama jibu lako ni ndiyo basi usisite kunitafuta whatsapp kwa namba hii 0673-659759 nikuongezee idadi yoyote ya followers unaohitaji hata ukitaka followers laki moja (100k) nitakuongezea but...
Promotional Price 188,000/=
-New Tablet Pc Dual sim cards with phone calling function
-OS: Android 5.1 Current Android version
- RAM 1GB/8GB ROM
-Network connections: Built -in- 3G...
Nina dume hapa na kufungiwa linaonekana limezidiwa
Nahtaj jike kama ni mdogo mdogo ingependeza zaidi
Nimfuge mpaka awe mkubwa ndo niwachanganye
Mbwa wa kiswahli tu hawa wa kawaida
Kama upo...
Gari tajwa on sale..
Km 40000
Namba B
Bei 5.7m
Gari iko vizuri sana haina tatizo lolote na imelipiwa vibali vyote mpaka February 2017
Nicheki 0783380123
Wasalaam wanaJF,
Nahitaji msaada tutan kwa mwenye kujua wap naweza kupata hizo accounting software nilizotaja hapo juu au kama unayo hata mojawapo kati ya hizo,nazihitaji mwenyewe na sio kampun...
Kampuni ya TANZ-ICE ni watengenezaji na wauzaji wa barafu kwa ajili ya sherehe, mahafali, matamasha, na watu binafsi, barafu ni makubwa na magumu kuyeyuka,yanapatikana kwa wingi.
Tunatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.