Nina kuku wa nyama nauza bei maelewano ni kutokana na wingi wa kuku utakaochukua ila kuku wanaukubwa wa wiki sita wapo kuku zaidi ya 500 na bei inaanzia 5500 mpaka 6000 wapo dar Karibuni
Kiwanja kipo eneo la mji mdogo wa kikatiti, Barabara ya Arusha-Moshi ni baada ya kupita maji ya chai kama unaelekea Moshi. Kina ukubwa wa 748 sqm( 22x34m). Kipo mita 400 kutoka Barabara Kuu. Maji...
Wengi wamegundua wallpapers ndo mpango
Nyumba inakua na muonekano amazing
Zipo za kutosha sasa tunakufikia mteja with
Upana 0.53cmx10m=55,000tshs
Jumla 50,000tshs
Call/whatsap #0713691101 /...
Wale ambao wanauza laptop naomba kujua plz na pia wekeni sifa za laptop ya hali nzuri
Pia nataka kununua RAM napataje ndugu maana nataka ya GB 1000 yaan Terra bite 1
Wakuu , tunatafuta Trailer yeyote Semi trailer(35 tons) au pulling trailer (25 tons) ya kununua bila kichwa(horse) used ilioimara hasa ya spring hata ya booster tutafikilia,
- iwe ina...
nimekuwa nikijiuliza sana kuhusiana na hizi dawa za ngvu za kiume zinazotangwa kila kukicha ktk magazeti hasa ya udaku na michezo.. " DAWA HII KILELENI KWA DAKIKA 30" kuutafuta mshindo wa kwanza...
Salaam...wadau nauza gari hii GX100..1998 Model special edition.Iko katika hali nzuri sana.Body kit na trip tonic gear,sun roof..DVD na mziki mkubwa.Bei 5.6.Mawasiliano 0659300000m
Habari, naishi Dar. Nataka kuanza mradi wa kufuga nguruwe, ntawafugia bagamoyo. Nahitaji kuanza na nguruwe kumi, kama kutakuwa na mtu yeyote yule atakayekuwa anauza au anamfaham mtu anayeuza hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.