Habari ndug nina bidhaa ya Asali Net weight Gram 500 @7500 Tsh botlle na Net Weight 1Kg @10500 Tsh botlle nitakusambazia popote ulipo kwa katoni moja =24botlle weka oda sasa nipo mbezi kimara kwa...
tafadhari ndugu zangu popote mlipo napenda kuwaomba msaada wenu wa hali namali kuendeleza chama chetu cha ASSA TABORA BOYS kwani hali ya chama ni mbaya kifedha na kiroho asanten kwamawasiliano...
Fremu ya biashara tandika inapangishwa kwa kiasi cha 200,000/=
Laki mbili elfu tsh,
Kodi ya miezi 6 inapokelewa.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0657 13 13 66
Nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dining room, jiko, stoo na servants quarter ya vyumba viwili, parking kubwa na garden inauzwa. Kwa atakeyeta tafadhali unipm au pigs simu 0672201901
Ipo nyuma...
Pata Viwanja vilivyo pimwa kwa tsh 14,000 tu kwa square meter, Na ambavyo havijapimwa kwa tsh 4,000,000 tu kuanzia meter 25 kwa 25 nakuendelea. Viwanja vyote viko kati ya Mwongozo na Dege eco...
Kuna Telecom Engineer anapatikana, yupo competent kwenye issue zote zinazohusiana na telecom kama ifuatavyo:-
1.Security system Door access control design, implementation and configuration...
viwanja vinauzwa 25*40 mil 6, 25*22 mil 3 na 22*20 mil 2.5
viko tambarare, vinafikika kwa barabara na umeme uko jirani
(kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
nauza ipad3 nyeupe 370000hii ipo kwenye hali ya upya bado imetumika kidogo.
GB 16 retina display
wiffi support
haingii line
..Pia ipo ipad3 nyeusi yenye GB64 nauza 450k
piga kwa maelezo zaidi...
Sifa zao
- Wawe PURE BREEDS
- Wawe na umri usiozidi miezi mitano
- Wenye furaha na Afya tele
- Best medical care attention (record documents ziwepo for proof).
Mwenye nao na anayehitaji tufanye...
Habari wana jukwaa
Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie.
Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza.
Mie napatikana Dar es salaam.
-Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos
-Brand: SONY (Brand inayoaminika zaidi worldwide)
-Condition: Used (in a good...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.