Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Daladala Nissan homy van -diesel -17 passengers -in a good condition fixed price 8.5m
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwenye kujua naweza kupata wapi 50 mL volumetric flask naomba anisaidie nahitaji 30 pcs haraka sana.
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Habari ndug nina bidhaa ya Asali Net weight Gram 500 @7500 Tsh botlle na Net Weight 1Kg @10500 Tsh botlle nitakusambazia popote ulipo kwa katoni moja =24botlle weka oda sasa nipo mbezi kimara kwa...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
tafadhari ndugu zangu popote mlipo napenda kuwaomba msaada wenu wa hali namali kuendeleza chama chetu cha ASSA TABORA BOYS kwani hali ya chama ni mbaya kifedha na kiroho asanten kwamawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Fremu ya biashara tandika inapangishwa kwa kiasi cha 200,000/= Laki mbili elfu tsh, Kodi ya miezi 6 inapokelewa. Kwa mawasiliano zaidi piga 0657 13 13 66
0 Reactions
0 Replies
3K Views
kiimfaacho mtu chake bei milion 8 ukiitaji ni pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dining room, jiko, stoo na servants quarter ya vyumba viwili, parking kubwa na garden inauzwa. Kwa atakeyeta tafadhali unipm au pigs simu 0672201901 Ipo nyuma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba 3 inauzwa Tegeta nyuki sqm 908 ina fance na servant quarter bei maelewano. 0658800002
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Pata Viwanja vilivyo pimwa kwa tsh 14,000 tu kwa square meter, Na ambavyo havijapimwa kwa tsh 4,000,000 tu kuanzia meter 25 kwa 25 nakuendelea. Viwanja vyote viko kati ya Mwongozo na Dege eco...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna Telecom Engineer anapatikana, yupo competent kwenye issue zote zinazohusiana na telecom kama ifuatavyo:- 1.Security system Door access control design, implementation and configuration...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
viwanja vinauzwa 25*40 mil 6, 25*22 mil 3 na 22*20 mil 2.5 viko tambarare, vinafikika kwa barabara na umeme uko jirani (kwa taarifa zaidi piga 0715055577/0769055577)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NAUZA TOSHIBA LAPTOP SPECIFATION ZAKE; ★Ram 2GB ★Hard driver 250GB ★Webcam ★Dvdr dvdrw writer ★Core 2 duo ★Graphics 1GB ★Satellite C850 ★Chip...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
nauza ipad3 nyeupe 370000hii ipo kwenye hali ya upya bado imetumika kidogo. GB 16 retina display wiffi support haingii line ..Pia ipo ipad3 nyeusi yenye GB64 nauza 450k piga kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii inakwenda kwa 14 million Piga cm number 0673260293
1 Reactions
0 Replies
809 Views
IST NA SPACIO FOR SALE IST NA SPACIO FOR SALE Call 0673260293
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninatafuta Mbwa dume pure breed.
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Sifa zao - Wawe PURE BREEDS - Wawe na umri usiozidi miezi mitano - Wenye furaha na Afya tele - Best medical care attention (record documents ziwepo for proof). Mwenye nao na anayehitaji tufanye...
1 Reactions
27 Replies
10K Views
Habari wana jukwaa Kichwa cha habari chajieleza,naomba kwa yeyote anayeuza mtungi wa gesi wa kilo 12 aniuzie. Kama unao ni-pm pamoja na bei unayouza. Mie napatikana Dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
-Pata Digital Camera ufurahie kupiga picha na mpenzi,ndugu,jamaa na marafiki. pia inauwezo mzuri wa ku-record videos -Brand: SONY (Brand inayoaminika zaidi worldwide) -Condition: Used (in a good...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Back
Top Bottom