Nauza Choroko kwa bei nafuu

Nauza Choroko kwa bei nafuu

masalapa

Senior Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
139
Reaction score
68
Habarini?

Ninauza choroko safi kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa bei ya jumla jumla, kwa walioko Dar es Salaam bei ni TZS 2,500/kg na kwa wengineo ni TZS 2,000/kg.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia cerealsgrocery@outlook.com Pia, tuna nafaka aina zote kwa bei poa kabisa.

Karibuni!

1306549111448[1].jpg
 
Back
Top Bottom