MODEL: H6400
PRODUCT HIGHLIGHTS
* Multi-System Compatible
* Full HD (1920 x 1080) Resolution
* Smart Hub / Smart Interaction 2.0
* Clear Motion Rate 400
* Full HD Active 3D Technology
*...
Habari ndugu,
Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious.
Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa...
Tunauza cement ya Twiga 10800 bila transport na usafir itakua 11300,, kwa dar tunapeleka kokotee ulipo na kwa mikoan tunachukua oda,, Cement ya kisarawe lucky cement kwa bei ya jumla 11000 pamoja...
Salaam..nauza large format printer kwa bei nzuri kama ifuatavyo:
Make:Yilong Technologies
Condition:New
Price:Tsh 14m
Operation:Full automatic
location:Dar es salaam
kwa kuiona au maswali zaidi...
Nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu nauza uwanja wangu upo vikindu njia ya kwenda Vianzi mwendo wa dakika 4 kwa pikipiki kutoka vikindu madukani ukubwa ni 62/58 futi ndani ya eneo kuna...
Habarini wanajf!
Niko Mtwara vijijini na huku niliko kuna kilimo cha matunda aina ya mapensioni pamoja na mananasi, mwenye kufahamu lilipo soko la matunda haya kwa mkoani Mtwara pamoja na lindi...
wakuu nna pikipiki yang ila imechakaa zile cover za njee aina ya lifan 110 zile ndogo,
je hizo show au cover za njee ntazipata wapi me niko dodoma ila hata dar nnauwezo wa kwenda kuzitafta...
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote
Ina 4wd
AC iko safi
Automatic gear
Inatumia petrol
Power windows
Model ya mwaka 1992
Bei ni milioni 9 tu.
Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
Msaada wadau natafuta nyumba ya kupanga chumba na sebule yenye choo cha ndani.
maeneo ya kimara ila isiwe mbali na main road pia maji yawepo.
Asanteni sana.
Habari za asubuhi.
Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized"
Naomba...
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand, ukubwa 50 kwa 40 pako vizr na njia nzr inafikika kwa urahisi kabisa..Bei yake Tsh.35ml lakn pia maongezi yapo..
Kwa maelezo zaidi au kuja kupaona tunaweza...
Habari zenu?
Kwa wale wahitaji wa kiwanja kipo maeneo ya Kwa Morombo kwa Pateli,ukubwa ni mita 10X20,bei ni milioni 5.
Huduma za maji na umeme zipo mbali kidogo.
Kwa anayehitaji 0752489529 au ni PM.
Vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana kwa Sh. 5,000-10,000 na vifaranga wa bata mzinga wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba 0753249862. Karibuni Sana.