Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Plots mbili ziko moriet ukubwa 33 by 22 each ni surveyed price 25nmb each, Kia kuna plots mbili moshono one is 25 by 20 location nzuri sana @ 20 min n.a. nyingine 22 by 20 @ 12Mln. Kama uko...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Kwa anaeuza monitor ya desktop nahitaji,kwaajili ya matumizi ya nyumbani.iwe flat screen.
0 Reactions
7 Replies
933 Views
Ninauza Viwanja vyangu vipo Mivumono Wazo Hill Vipo karibu na njia panda ukiwa unatokea Wazo Hill Ni viwanja vizuri, tambalale, huduma zote za kijamii zipo Ukubwa: 20" x 20" Bei: 9M (Maongezi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Betri ya gari haina mda kabisa,
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Come with Samsung Warrany card Price 1.6m Contact 0659633720 OS Android OS, v6.0 (Marshmallow) Chipset Qualcomm MSM8996 Snapdragon 820 Exynos 8890 Octa CPU Dual-core 2.15 GHz Kryo & dual-core...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chochote ulichopenda pm au text 0652140160.....vilivyopo hapa ndyo vilivyobaki.. Culture za kike ni size 35,36 na 40.....karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Viwanja vipo katika eneo lillilopimwa na ni vya 20*20m, umeme upo na maji ya mradi mpya (dawasco) Viwanja vipo 200m toka kinapojengwa chuo kipya cha Muhimbili na vinaanzia 7m to 13.5m Barabara za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari yana bodi. Kwa yeyote mwenye uwezo wa ku Supply Mafuta ya Sunflower kwa kiwango kikubwa naomba anione PM (Mafuta lazima yawe ya kitanzania). Akija PM, anipatie details kama...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza laptop Dell latitude D620, HDD 160 GB, RAM 2GB, haina shida yoyote ni mpya kabisa bei ni 230,000 maelewano yapo, wale wa Mwanza au jirani wani-PM tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
[emoji41][emoji41][emoji41]
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa ipo chang'ombe usalama ipo barabarani kabisa,ni eneo safi sana kwakuweka godown,yard ya magari,Kama wengine pembeni walivo fanya.bei ni milioni 550.Kama upo serious nichek 0716385824
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ina vyumba vinne master, Jiko , sebule, fence na parking nzur, maji , umeme pia nyumba inafikika Kirahisi!! Bei:laki 5 kwa mwezi Mahali:kibada kigamboni Dar es salaam Simu:0718295182 au...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Wasalaam: NAUZA kiwanja chenye ukubwa wa square metre 840(unsurveyed) kipo Kata ya GOBA eneo linaitwa TEGETA A bei ni tsh 20 million ni viwanja viwili nimeunganisha pamoja kina mikataba yote ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Eneo la makazi na kilimo lililopo kilometa 20 toka msamvu kuelekea Dodoma na kilometa 5 toka barabara kuu iendayo Dodoma naliuza. Kuna Ekari 3 ambapo kila moja nauza...
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Habari wakuu mbali mbali, Nina kabiashara nataka kukaanza kuuza chipsi. Natafuta friji kubwa la kuweka soda na maji. Mwenye nalo aniPM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba mwenye kreti za soda zikiwa na chupa tupu anitafute tufanye biashara.Nitumie ujumbe kwenye namba 0673404808, then nitakupigia. Napatikana Dar es salaam. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samsung Galaxy s6 edge inauzwa laki tisa tu(900k), ni mpya ipo kwenye box. Ram 3gb Memory 32gb Screen 5.1" Karibuni sana,wahi maana zipo chache na wateja wetu wengi ni wauzaji wa madukani.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha Habari hapo juu, kiwanja kizuri kipo maeneo ya tabata kinyerezi, Mbuyuni. Kipo eneo zuri na mazingira ya kuvutia.... Kina mapana ya mita 61 kwa 31.... Kwa maelezo zaidi na bei...
1 Reactions
2 Replies
963 Views
Mwenye kufaham bei ya tecno phantom anifahamishe....
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini mimi si mjuzi wa mambo haya kiivyo ila juzi nimeletewa na jamaa kama 200 za unga wa red mercury ( kwa mujibu wake) vipimo tulivyofanya ni kumwagia kwenye lizla ile ya sigara ikawaka moto...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Back
Top Bottom