MIMI NI WAKALA WA KUUZA CEMENT YA DANGOTE TANZANIA MZIMA KWA BEI YA JUMLA, NINATAFUTA WATEJA WA BIDHAA HII YENYE UBORA WA KIPEKEE, BEI ZANGU ZIKO POA KWA WENYE KUHITAJI MUNICHEKI PRIVATE TUWEZE...
Kamapuni ya kichina inayojishughulisha na madini huko wilayani Kahama,Shinyanga inatafuta Mkalimani wa Lugha ya kichina na kiingereza na itafaa sana kama kiswahili atakuwa anakielewa,Mshahara ni...
Ni ukweli usiopingika kuwa karibu Watanzania million 35 wanamiliki simu. Hali hii imepelekea kampuni za mitandao ya simu kuuza muda wa hewani unaokadiriwa kufikia billion 49 kwa siku. Watu walio...
Hello wakuu JF
Natafuta fundi stadi wa mbao, tufanye kazi ya kutengeneza kwa kutumia mbao ya mninga au mkongo, kitchen cabinets pia kazi ya ku design walk-in-closet kwa kuweka shelves, drawers...
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
Habari zenu wakuu.
Iwapo pana mtu anauza gari lake na lipo kwy hali nzuri (Halijawahi pata ajali ama kupakwa rangi upya, halina matatizo kwy engine n.k) na iwe na Vibali vyote....tafadhari...
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
Habari wakuu.
Nahitaji Ngombe wa kisasa wa maziwa aina ya ferrisian, au mixture ya hybrid ya aina hiyo. Naomba Tafadhali kwa anayefahamu jinsi ya kuwapata anisaidie TAFADHALI. Napatikana mkoa wa...
Kiwanja chenye ukubwa wa 30m x 30m. Kilichop Goba (1 km toka goba stand) kinauzwa. Eneo halijapimwa ila pameisheendelezwa. Bei 13M. Kwa mhitaji tuwasiliane (0719843898).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.