Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu nna pikipiki yang ila imechakaa zile cover za njee aina ya lifan 110 zile ndogo, je hizo show au cover za njee ntazipata wapi me niko dodoma ila hata dar nnauwezo wa kwenda kuzitafta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote Ina 4wd AC iko safi Automatic gear Inatumia petrol Power windows Model ya mwaka 1992 Bei ni milioni 9 tu. Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada wadau natafuta nyumba ya kupanga chumba na sebule yenye choo cha ndani. maeneo ya kimara ila isiwe mbali na main road pia maji yawepo. Asanteni sana.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za asubuhi. Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized" Naomba...
0 Reactions
3 Replies
867 Views
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand, ukubwa 50 kwa 40 pako vizr na njia nzr inafikika kwa urahisi kabisa..Bei yake Tsh.35ml lakn pia maongezi yapo.. Kwa maelezo zaidi au kuja kupaona tunaweza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni wa wiki mbili na nusu na wiki tano, wiki mbili na nusu wako 450 na @ 2500 na wiki nne @ 4500, wako 100. PWako Dar 0714018728
0 Reactions
0 Replies
900 Views
nahitaji tv ya nchi 20 nipo arusha iwe ktk hali nzur uwe,arusha iwe chogo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa anayetaka till ya tigopesa na airtel money anipm nimpunguzie bei Tsh. 200k tigo kwa 100k airtel
0 Reactions
0 Replies
755 Views
Habari zenu? Kwa wale wahitaji wa kiwanja kipo maeneo ya Kwa Morombo kwa Pateli,ukubwa ni mita 10X20,bei ni milioni 5. Huduma za maji na umeme zipo mbali kidogo. Kwa anayehitaji 0752489529 au ni PM.
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana kwa Sh. 5,000-10,000 na vifaranga wa bata mzinga wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba 0753249862. Karibuni Sana.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina anti-virus ya KASPERSKY ANTI-VIRUS 2016 WINDOWS 10. NITAFUTE PLZ KAMA UNAHITAJI
0 Reactions
3 Replies
925 Views
kama una vifaa vya tv studio na unavikodisha tafadhali ni pm
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Kama ulikua unatafuta au unahitaji kiwanja Dodoma mjini Usipitwe na hiii Bei yake nafuu haijawahi kutokea Sehem :Makuru karibu na Barabara ya stend ya dodoma Bei:Maelewano lakini n nafuu Sana...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Hi Nahitaji kuku kuchi wa kufuga. Nipo Dodoma. Mwenye kuku hao tuwasiliane..
0 Reactions
13 Replies
16K Views
MODEL: H6400 PRODUCT HIGHLIGHTS * Multi-System Compatible * Full HD (1920 x 1080) Resolution * Smart Hub / Smart Interaction 2.0 * Clear Motion Rate 400 * Full HD Active 3D Technology *...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ofa imekwisha, Asante kwa wale walio onesha ushirikiano || Offer had expired! Thanks for those who show their supports.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
MAFUTA HAYA YA QUEEN HEREN NI MAFUTA HALISI YA KUTUNZA NGOZI NA KUING'ARISHA NGOZI BILA KUCHUBUA! HABARI ZA QUEEN ELIZABETH TUPA KULE KWA SABABU YANACHUBUA KWA KIASI CHAKE! LAKINI QUEEN HEREN...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Nina plots 3 ziko Singida Cha kwanza ni heka 9 Cha pili ni heka 8 Cha tatu ni hela 8.5 Kila plot kina mining Licence Anyone that will be interested plz contact me 0676 983196
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naitaji aridhi heka 5 Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar Iwe imepimwa Budget yangu ni 10m. Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Jipatie hii Offer. Bei: 169,999/- Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Back
Top Bottom