wakuu nna pikipiki yang ila imechakaa zile cover za njee aina ya lifan 110 zile ndogo,
je hizo show au cover za njee ntazipata wapi me niko dodoma ila hata dar nnauwezo wa kwenda kuzitafta...
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote
Ina 4wd
AC iko safi
Automatic gear
Inatumia petrol
Power windows
Model ya mwaka 1992
Bei ni milioni 9 tu.
Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
Msaada wadau natafuta nyumba ya kupanga chumba na sebule yenye choo cha ndani.
maeneo ya kimara ila isiwe mbali na main road pia maji yawepo.
Asanteni sana.
Habari za asubuhi.
Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized"
Naomba...
Kipo Goba mjini, mita 300 kutoka stand, ukubwa 50 kwa 40 pako vizr na njia nzr inafikika kwa urahisi kabisa..Bei yake Tsh.35ml lakn pia maongezi yapo..
Kwa maelezo zaidi au kuja kupaona tunaweza...
Habari zenu?
Kwa wale wahitaji wa kiwanja kipo maeneo ya Kwa Morombo kwa Pateli,ukubwa ni mita 10X20,bei ni milioni 5.
Huduma za maji na umeme zipo mbali kidogo.
Kwa anayehitaji 0752489529 au ni PM.
Vifaranga wa bata wa kawaida wanapatikana kwa Sh. 5,000-10,000 na vifaranga wa bata mzinga wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000. Atakayehitaji anitafute kwa namba 0753249862. Karibuni Sana.
Kama ulikua unatafuta au unahitaji kiwanja Dodoma mjini Usipitwe na hiii Bei yake nafuu haijawahi kutokea
Sehem :Makuru karibu na Barabara ya stend ya dodoma
Bei:Maelewano lakini n nafuu Sana...
MODEL: H6400
PRODUCT HIGHLIGHTS
* Multi-System Compatible
* Full HD (1920 x 1080) Resolution
* Smart Hub / Smart Interaction 2.0
* Clear Motion Rate 400
* Full HD Active 3D Technology
*...
MAFUTA HAYA YA QUEEN HEREN NI MAFUTA HALISI YA KUTUNZA NGOZI NA KUING'ARISHA NGOZI BILA KUCHUBUA!
HABARI ZA QUEEN ELIZABETH TUPA KULE KWA SABABU YANACHUBUA KWA KIASI CHAKE! LAKINI QUEEN HEREN...
Nina plots 3 ziko Singida
Cha kwanza ni heka 9
Cha pili ni heka 8
Cha tatu ni hela 8.5
Kila plot kina mining Licence
Anyone that will be interested plz contact me 0676 983196
Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.