Kiwanja chenye ukubwa wa 30m x 30m. Kilichop Goba (1 km toka goba stand) kinauzwa. Eneo halijapimwa ila pameisheendelezwa. Bei 13M. Kwa mhitaji tuwasiliane (0719843898).
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
About Big One Enterprises
Big One enterprises(logistics )
Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama,mda,usumbufu katika sekta ya upauaji,tumejikita katika kuokoa gharama na kumpunguzia mteja gharama...
Nyumba ya kisasa juu ina vyumba vwil(master)dinning, sitting room gym kubwa ya kisasa balcon kubwa ya kupumzkia chin ina vyumba vnne (3master&1single with public toilet) sitting room, dinning ya...
Lipo Makongo nyuma ya chuo kikuu cha Dar es salama.panafaa kujenga shule, Apartment, hostel, Na pia kuna Nyumba ya vyumba 3 self nk bei 350ml maongezi yapo.mawasiliano 0715060183/0756060183
Habari ,nataka kukodisha truck loader, kutoa gari kutoka Tanga airport kuja dar,iwe tons 7-10,gari inayobebwa ni Nissan patrol 1.2tons.
Tuwasiliane kwa namba hii 0716792692,As soon as possible...
Nauza Kuku kienyeji wenye uzito kati ya kilo 1.5 -2. kuna jogoo wachache na tetea wako 100. Bei ni sh. 15000 kwa kila mmoja. Tetea wameanza kutaga. Tuko Dar e salaam. Piga namba 0766302961 kwa...
*DESING AND PATTERN MAKING WORKSHOP TRAINING* POP UP FASHION inatoa mafunzo ya kudizaini nguo mbali mbali pia inatoa mafunzo ya upimaji wa nguo,kujua aina mbali mbali za mishono,nk Mafunzo haya...
Mkurugenzi wa Huawei Tanzania Bw. Bruce Zhang (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi 10 wa vyuo vikuu nchini mara baada ya uzinduzi rasmi wa programu ya elimu ya Seeds for the future...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.