P pinnah New Member Joined Jun 4, 2014 Posts 4 Reaction score 1 Jun 14, 2016 #1 Habari ndugu, Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious. Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa uaminifu zaidi mkopeshaji anaweza pajua ofisini.
Habari ndugu, Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious. Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa uaminifu zaidi mkopeshaji anaweza pajua ofisini.
P pinnah New Member Joined Jun 4, 2014 Posts 4 Reaction score 1 Jun 14, 2016 Thread starter #3 kipusy said: Uko wapi? Click to expand... nipo dar es salaam. ubungo
kipusy JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 639 Reaction score 323 Jun 14, 2016 #4 Ungekua mbeya ningekupatia
jembelamkono JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 2,733 Reaction score 2,016 Jun 14, 2016 #5 Hata mimi ninahitaji mkopo wa 1,000,000 kwa mwezi mmoja.Riba maelewano,nipo dar es salaam.
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 36,106 Reaction score 104,866 Jun 14, 2016 #6 Dhamana kitu gank mkuu, nyote wawili wa 500k na 1m