Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu waungwana,mie ni kijana mwenye utaalamu wa kufanya wiring ya umeme katika nyumba na ghorofa. Bei zangu ni nafuu na pindi nitakapokufanyia utafurahia mwenyewe,na pia kama nyumba ina...
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Wadau, Nahitaji fundi mzuri wa kupanga paving blocks. Mafundi nawaona wengi mtaani, ila ntashukuru nikipata reference toka kwa mtu ambae amefanyiwa kazi nzuri. Nyumba ipo Tangi Bovu, Mbez Beach...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kimfaacho MTU chake Leo mwny hii nymba kanifuata kashuka tena mwny hela anaokota hii nyumba ukilingansha na gharama halisi
1 Reactions
64 Replies
8K Views
Wahi ofa hiyo kwa kupiga 0689755234 .Napatikana Dar es salaam.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nauza asali mbichi ya nyuki wa kubwa kwa tsh 15000 tu kwa Lita Nakuletea popote ulipo ndani ya Dar es salama Nichek hapa kwa oda 0714547830
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Simu iko katika hali nzuri.Ila ina crack ndogo sanaa amabayo haionekani mpaka u itizame kwa umakini na cover lina michubuko kiasi.Bei ni 330.k
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa: PROJECTS ZA KIGAMBONI HAYAT RESIDENCE: *Umbali km 23 kutoka Ferry *Umbali km 10 km kutoka New Kigamboni bridge(daraja jipya la kigamboni) *Ipo ndani ya Proposed...
3 Reactions
61 Replies
11K Views
Banda lina vyumba viwl tu lipo mtaan umeme, maj vipo karbu 0656 698232
0 Reactions
5 Replies
2K Views
House and plot for sale dar es salaam 0712656606 Eneo: kigamboni kibada block 15 Bei: millioni 150 ikikamilika Millioni 120 kama ilivyo. Ina hatimiliki na kiwanja kimepimwa Size : Square...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ndege la Etihad nchini Nigeria Bw. George Mawadri Shirika la Ndege la Etihad ambalo ni shirika la ndege la taifa katika falme za kiarabu limemteua George Mawadri...
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya kurasini karibu na baraza la maaskofu. ukubwa ni square meter 3320, ipo almost mita 150 kutoka baharini..... All relevants documents ziko available (sio ya urithi ni...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye kujua zinapopatikana hapa Dar aniambie ,, nipe PM
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za mchana wana JF natafuta mteja wa kununua ufuta, nina ufuta zaidi ya kilo 2,000 Ufuta unapatikana shambani kwangu nje kidogo ya Mkuranga, Serious Buyer naomba anicheki private kwa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nyumba ina vyumba vtatu (1master&2single)sitting room,public toilet,kisima cha maj kipo,umeme unawaka,nymba ipo mita chache kutoka barabara ya lami Contact 0656 698232
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta dealer wa PPE ambaye hajasajiliwa na VAT Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iwe Huawei y530 ama Tecno boom j7 .... maongezi yanaweza kuwepo kidogo,iwe nzima,original, na iciwe na crack.... Nahitaji haraka hata leo.... contact: 0625 542873 nipon Dar
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MIMI NI WAKALA WA KUUZA CEMENT YA DANGOTE TANZANIA MZIMA KWA BEI YA JUMLA, NINATAFUTA WATEJA WA BIDHAA HII YENYE UBORA WA KIPEKEE, BEI ZANGU ZIKO POA KWA WENYE KUHITAJI MUNICHEKI PRIVATE TUWEZE...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kamapuni ya kichina inayojishughulisha na madini huko wilayani Kahama,Shinyanga inatafuta Mkalimani wa Lugha ya kichina na kiingereza na itafaa sana kama kiswahili atakuwa anakielewa,Mshahara ni...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Simu 0783085858.0769881984.0715085858
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom