Waungwana
Kwa jiji la dar es salaam wapi naweza pata machine ambayo itakoboa mpunga?
Nimejaribu kulima na sasa nshavuna nausomba mdogomdogo
Nauhifadhi Dar,nataka sehem ambayo waweza...
Haya tena wanaujenzi wenzangu leo nimewasogezea ideas na sample ya kazi zangu nazofanya kama ukinipa like na comment ntafarijika pia kama ukinitumia email au ukinipa kazi ya kukuchorea au...
Habari za asubuhi wakuu,
Nahitaji mkopo mdogo wa dharura nitakao ulipa ndani ya mwezi,
Riba ya mkopo ni makubaliano kati yangu na mkopaji.
Dhamana ni mali zilizopo kwenye biashara yangu.
Mwenye...
Kama wewe ni Muuzaji wa simu au Tablets. Ukaweka tangazo lako humu JF au Kupatana, au kokote kule...Harafu akatokea mteja akakuomba umtumie IMEI namba ya simu yako ili aweze kuangalia km...
Bidhaa-Bati za msouth,kawaida mkunjo na vigae(natural stone coated)
Upana -107cm,97cm,110cm na 87cm
Urefu -kuanzia meter moja mpka utakao wewe
Gauge -28 na 30
Material -Alozinc
Tunakuonesha...
Habari njema!
Habari njema!
Habari njema!
Kuna gunia tatu na nusu
Zilizosheheni simu za kisasa (smartphones) mpya kabisa!!!!
Nasisitiza,
Ni mpya.
Zinauzwa kwa bei ya ofa muruwa kabisa!
Yaani...
habarizenu wakuu, poleni na majukumu.
Sasa ninawaletea utaalamu wa kutumia rangi na kutengeneza maumbo(patterns) zinazofanana na wallpapers,
Rangi hizi hudumu zaidi ya wallpaper (5+ years...
Kwa wanafunzi wa Kidato cha 5 wa sasa na wale wanaotarajia kuanza kidato cha 5 mwezi Julia, 2016, Kitabu kipya cha somo la ECONOMICS kimetoka kwa paper 1.
Kinafuata Syllabus mpya ya mwaka 2009...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.