Hii ni mahususi kwa civil engineers tu!

Hii ni mahususi kwa civil engineers tu!

Tingitane

Senior Member
Joined
Apr 18, 2012
Posts
116
Reaction score
132
Habari za asubuhi.
Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized"

Naomba engineers tafadhari ushauri wenu wa kitalaam. Kwa kuongezea jengo lenyewe litakuwa mahusus kwa ajili ya kuishi " apartments".

Ahsanteni.
 
subiri hao injinia wa bongo waje wakujibu kwa garama za 1sq meter wakupige na kukupiga
 
Kabla ya yote tafuta watu wa kupima udongo (soil Investigations) kwenye kiwanja chako ambao wata recommend type of foundations you have to adopt. Sasa hapo quantity surveyor au injinia mzoefu atakupa gharama za ujenzi wa msingi kwenye nyumba yako. Kumbuka kote huko siyo bure kuna gharama kidogo itahitajika.
 
Civil engineers wanadeal na cost? nadhani swali lako ulitakiwa kuwa address Quantity Surveyors, all in all no details no questions!!!Edit post yako, utaje mkoa ulipo na purpose ya jengo lako ni nini.
 
Back
Top Bottom