Power banks za solar na za umeme zinapatikana kwa order. Bei 35000/= kwa powerbanks za solar, bei ya jumla 28000/=. Na zakawaida ni 30000/= zina sehemu mbili za kucharge simu mbili kwa mda mmoja...
Wakuu salama!
Natafuta mbia ninayeweza kufanya naye ufugaji wa kuku, nguruwe au kilimo cha green house. Mimi natoa eneo, Dar es Salaam, Tegeta Wazo.
Yeye anakuja na mtaji wa kuinvest
Aisee balton wako vizuri kwenye maswala ya kilimo. Wana drip irrigation systems, madawa, mbolea, wataalamu wa kilimo. Dodoma, Arusha na Morogoro watakuwepo kwenye nane nane...
Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha. Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei...
Viwanja vinapatina kwa bei nafuu kwa ukubwa wowote unaotaka. Vipo eneo la maji ya chai, kilometa nne toka usa river Arusha.
Kuna maji ya bomba na umeme. Mita 500 toka barabara ya lami. Bei...
Tunauza hii Nyumba Ipo kigamboni mtaa wa Tuangoma goroka njia panda ya Jeshi
Nyumba ni ya Ghorofa chini chumba kimoja self na Juu vyumba 3 vyote ni self nk
Ukubwa wa plot 1500sqm na bei yake...
Ni shule ya day na boarding inachukua wanafunzi wa combinations za HGL, HGK NA HKL, ni shule ya kikristo na inatoa huduma pasipo na kubagua dini, ada yake ni nafuu kwa maelezo zaid npm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.