Plot inauzwa mbweni ubungo 601 square meter
Plot ina hati imepimwa
Maji na umeme upo
Karibu na shule
Bei mil 40 maongezi yapo
0714787795 kwa mawasiliano au pm.
Jamani natafuta mtu anayeuza Marine board ambazo ni used . Au mtu anayekodisha Marine board kwa ajili ya slab. Mimi najenga maeneo ya Wazo na ninahitaji haraka. Kwa mwenye kujua zaidi naomba...
Tecno h6 mbili znauzwa.. Moja nzima moja inauzwa kama spare, imekufa display na volume button imetoka... Muuzaj yupo dodoma.. Bei ya zote ni 185000....
If you are in the search of a hospital information system, we’d be happy to do an in-person demo or run a virtual one.
Karibuni sana.
patientcarehis@gmail.com
0718045059
Price is negotiable...
Heshima kwenu brothers and sisters
Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from city...
Habari za leo?
Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja)
Mnunuzi...
Habar zetu wakuu ninashida na mkopo ya mil moja, dhamana yangu ni vyeti vya shule kuanzia sekondari hadi Chuo kikuu, marejesho nitarejesha asilimia kumi kila mwenz na nitarejesha ndani ya miez...
karibuni sana katika jambo hili jambo la kipekee hapa nchini kwetu na duniani kwa ujumla
Nalo ni ICHARITY CLUB. Icharity club ni club kama club ya riadha,club ya mazingira,club ya mpira...
Brand new
Year: 2015
Model: 49LF540T
Features
HD 1920 X 1080 resolution
Active noise reduction
Triple XD engine
Real cinema 24p
Digital tuner
HDMI 2
USB 1
Price: 1,600,000
Contact: 0713086602
MKUTANO WA AFYA YA JAMII KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NA VIPODOZI
(AFYA, DAWA, UZURI, UREMBO NA VIPODOZI)
AGENDA
MAMBO YA MSINGI ILI KUWA NA AFYA NJEMA
KUWA NA UZURI NA UREMBO...
Habari wanajamvi,naomba msaada wa kupata mashine ya kutengenezea bisi iliyokwisha tumika (used PopCorn Mashine) kama itakuw mpya basi iwe kwa gharama nafuu,Shukrani.
Shamba lipo mikumi njia ya kwenda kilosa, Lina ukubwa wa heka 20 linapakana na mto ni sehemu nzuri kwa kilimo cha umwagiliaji,ufugaji wanyama hata kufuga samaki.
muhitaji WA kweli nitamuuzia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.