Bei za viwanja na nyumba Dar ni kichaa

Bei za viwanja na nyumba Dar ni kichaa

edu88

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
692
Reaction score
516
Nyumba Dar es Salaam inauzwa kwa thamani sawa na Beverly Hills, nchini Marekani. Wapigaji, wakwepa kodi na mafisadi ndipo walipotufikisha hapa.
156b8547270c14d0d38e06430256e372.jpg
 
Fafanua manake mie najua vitu vinapanda bei au kushuka kulingana principal mbili tu..supply and demand! Watu kuwa na hela nyingi inawezekana wameinvest sana,au wanafanya money laundering au ni udhaifu wa Serikali kusimamia vizuri monetary na fiscal policy
 
Unadhani ada estate nyumba bei gani???? Tena jirani na best bite???
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kama Masaki mwaka 2005 kiwanja kilijuwa 1 billioni sishangai kwa maeneo hayo kwa mwaka huu kutoka bei hiyo
 
Wahi Dodoma mkuu soon nako patakuwa mji mkubwa,sio lazima wote tumiliki nyumba Dar kwanza joto na magonjwa hatarishi yamezidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom