Msaada nahitaji line mpya T.pesa na M.pesa leo hii!

Msaada nahitaji line mpya T.pesa na M.pesa leo hii!

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,828
Jamani eeh,mimi mjasiriamali mdogo mwanzo nilinunua line humu nimetapeliwa....anyway mimekupotezea. Sasa nimejipanga upya,nahitaji laini mbili mpya za m pesa na T.pesa ukijihisi tapeli hii thread ipite tu. Nahitaji mapema yaani hapa np full.....
 
Upo wapi
Njoo pm tuongee kuhusi line ya tigo pesa
 
Anayeuza aweke namba hapahapa na bei huko pm niliibiwa sitokuja hata kwa nn?
 
Jamani eeh,mimi mjasiriamali mdogo mwanzo nilinunua line humu nimetapeliwa....anyway mimekupotezea. Sasa nimejipanga upya,nahitaji laini mbili mpya za m pesa na T.pesa ukijihisi tapeli hii thread ipite tu. Nahitaji mapema yaani hapa np full.....
m pesa ipo laki moja tu
0656899091
 
Hivi kwa nini laini za mpesa ni bei rahisi?
Kuna mtu alitakaga kuniuzia kwa bei rahisi hadi nikashangaa.
 
Naomba mnisaidie utaratibu pale ofisini kwao,humu majanga tuuuu..
 
Ukishakua na lesen.na tin namba nenda ofisi zao ingawa kuzipata hizo line itakuchukua either muda mrefu sana or usipate kabisa,na si ajabu document zako zikatumika kutengezea line ambazo zitakua sokoni kwa jina lako pasipo kujua,kama uhtaj.si wa haraka peleka document ofis husika
 
Ukishakua na lesen.na tin namba nenda ofisi zao ingawa kuzipata hizo line itakuchukua either muda mrefu sana or usipate kabisa,na si ajabu document zako zikatumika kutengezea line ambazo zitakua sokoni kwa jina lako pasipo kujua,kama uhtaj.si wa haraka peleka document ofis husika
Ahsante mkuu,humu siamini hata kidogo! Kuna mtu kaandika bei humu...nimempigia kapandisha bei!
 
Back
Top Bottom