Vitu hivi vinauzwa kama ifuatavyo;
(Mawasiliano tafadhali tumia namba hii tu 0763-497700 sitakuwa JF ila kwa simu tu tunaweza kuwasiliana)
1. Fridge aina ya Boss. Bei 500,000/=(Laki Tano)...
MAELEZO YA VIFAA / TRACKING SYSTEMS
Isecure Technology inawaletea teknolojia mpya ya usalama katika gari , ambacho inafanya kazi kama alarm system hapo hapo inafanya kazi ya tracking . Kifaa hiki...
Habari wakuu.Kuna dogo hapa home anatafuta mtu mwenye uhitaji wa haraka wa simu boom j7 maana kesho anaondoka kwenda shule Arusha.Specifications zake 16GB Storage,1GB RAM,8MP CAMERA.Simu bado...
Tuna tiles aina zote za bei nafuu kuanzia za UAE na china Grade A (sio good one) za chini na za ukutani...skirting zake na marble aina zote na pia tuna machine kubwa ya kuchonga tiles au kuweka...
Nyumba ya vyumba vitatu na sebule na jiko inapangishwa kwa Tsh 300,000 kwa mwezi kuanzia mwezi wa sita. Parking ya gari ipo. Nyumba ipo kwenye fensi. Wasiliana na mimi kama upo serious.Amna mambo...
Nimeingia mtandaoni nimeona toyota ist used usd 1,188, shipping cost usd 880 , CIF 2468 . na limetembea mile 32,000 . je kwa fedha hiyo m.7 naweza kulipia tra na usafirishaji na gharama zote...
Wakuu tukutane hapa tujuzane nyumba aka gheto hasa kwa sisi vijana ipi inafaa kujengwa kutegemea hasa maisha yalivyo,, mwenye raman nzurii naomba msaada hasa vyumba 3-4
Ndg zangu, mi nimenunua baadhi ya vifaa vya music kama mixer, buster mic za wire les, lakini cna sehemu ya kuhifadhia vifaa hivyo, nimeambiwa kuna kifaa kinaitwa rake ndicho kinachotumika...
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote!
tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
Habari Ndugu, Noo Entertainment ni kampuni iliyosajiliwa hapa tanzania na Kupewa kibali cha kutengeneza Movie za kitanzania na music video za aina zote! tunapatikana njia panda ya segerea Dar es...
Ina chumba kimoja,sitting room na choo cha ndani
Ipo kigamboni kisiwani kwa Steven
Maji yapo 24/7
Kodi tsh 150,000 kuanzia miezi3
Mawasiliano
0744613695
Salaam wadau...nauza Toyota Crown Athlete toleo la mwisho:
-Mwaka 2007 Nov
-Full sensors
-Mirror sensor lights
-Push start buttons
-7 gears
-CD and TV
-HDD music storage
-Moving front lights
-18...
3bedrooms-1master, sitting room, kitchen, dinning and washroom.
Iko na fance.
Iko na maji- drilled well.
Iko paved.
Unaweza park hata gari kumi.
Eneo ni Sqm 900.
Ipo chanika karibu na...
Nyumba za bei nafuu zinauzwa maeneo ya Mbagala Chamazi. Bei inaazia 20M mpaka 45M. Ni umbali wa 2Km kutoka barabara kuu ya kuelekea Azam complex. Gari inafika mpaka eneo la nyumba Umeme, Maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.