Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salaam Nakusudia kuanzisha kiwanda kidogo cha usindikaji nafaka. Ila sifahamu sana kuhusu ubora wa electric motors Yaani sijui brand ipi ni durable, affordable and perfect for the project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692 Asanteni
0 Reactions
17 Replies
7K Views
[emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] [emoji245] Habari ya Muda huu mpendwa. Niko nauza dagaa wa mwanza kwa bei...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Kwa yeyote mwenye tatizo la simu iliyofungwa kwa Google account na icloud leta simu ifunguliwe ndiyo ulipe bei zetu ni nafuu
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nahitaji dushi, dekoda au king'amuzi cha bei chee. Azam, Zuku au yale Euro Star itakuwa poa. Nipo dar. Karibu PM
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kiwanja kipo mbezi beach tangi bovu chui street karibu na shule ya jk nyerer kina hati halali na square mita 495 na bei yake ni 80m Piga simu kma unahitaji kukiona kwa ukaguzi na upewe docmnt...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Habari familia!.. Kama kichwa cha habari kilivyoeleza ningependa kujua bei za mazao sokoni na watu pekee wanaojua ni madalali nipo moro nimelima nyanya na mazao mengine tofauti... Naomba kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
bandugu nina emergence ambaya sina alternative naomba kama kuna mtu anaweza kuniazima laki nne nitarudisha laki tano ndani ya mwezi mmojha mimi ni mwajiriwa, kama kuna dhamana yoyote naweza...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi wadau Kutokana na dhamira ya rais wa nchi kuhamia Dodoma, kutaambatana na fursa kibao za uwekezeji kwenye ardhi. Kwa walioko Dodoma tunaomba kujua bei ya viwanja vya makazi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Simu inauzwa iko Dsm.. Simu ni used pia ina macover mawili.. (nakupa makava yote) Specifications Ina LTE (4G) 16GB internal memory 2GB ram Megapixel 13 Rear Camera Megapixel 5 front...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji Dough Mixer (mashine ya kukoroga unga) kwa ajili ya kutengeza vitu kama mikate,keki au maandazi. Napenda sana kama ikiwa Manual au hata kama ni ya umeme sawa tu. Nahitaji ya ujazo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunapenda kuwa taarifu ndugu jamaa na marafiki kuwa dr Saile anayepatikana mbeya ~mbalizi anatibu magonjwa kwa bei laisi sana kwa kila mtu kumudu ,anatibu magonjwa kama ~asthma. ~ figo. ~ Vidonda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye kunielekeza kwa upatikanaji wa betri ya tab tajwa hajuu anijuze plz!! Usisagau cost
0 Reactions
0 Replies
602 Views
Ndo ombi langu hiloo wakoo Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Nauza hiyo gari ipo vizuri sana.contact 0746548636 WhatsApp 0765428633
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Viwanja vinauzwa vipo Malela Mkuranga ni 1,000,000/= kwa kila kimoja vipo vitano. Anaehitaji anipm nitoe namba ya simu ya muuzaji.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
GATEWAY DESKTOP COMPUTER INAUZWA… SPECIFICATION ZAKE v Hard Disk 1TB (GB 1000) v Ram 6 GB v Processor Core i3 v Mouse and keyboard ni wireless v Display Inch 21 v Inasupport touch screen...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
je unatatizo la kisukari sugu, pressure, stroke, matatizo ya moyo, kushuka kwa cd4 kwa wenye HIV na pengine umejaribu kila aina ya dawa bila mafanikio yoyote?? tunakukaribisha kuonana na doctor...
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Brand new(2015) Model: 32LF550D HD 1366 X 768 resolution Active noise reduction Triple XD engine Real cinema 24p Digital tuner HDMI x 2 USB x 1 price: 650,000 contact: 0713086602
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom