Nahitaji mwanadada mtu mzima, anayejielewa na si msichana,wa kufanya usafi nyumbani, mara mbili kwa juma, kufua, kupiga pasi, kufanya usafi wa jumla wa nyumba, haswa ndani na kuosha...
Habari wana bodi
Nahitaji mtu wa uhakika ambaye atakuwa ananiletea kuku wa kienyeji kutoka Singida.
Awe na uwezo wa kuleta kuku wa kienyeji 80 - 100 kwa wiki.
Mtu ambaye yupo Singida na anaweza...
Mm nafanyabiashara ya gas napata faida kati ya laki tano mpaka milion kwa siku ila madeni yamenizidi kama kuna mtu anataka kujua zaidi na anapesa anitafute aje tujadiliane tupige kazi
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;-
# Kisukari.
# Shinikizo la damu.
# Maumivu ya viongo.
# Upungufu wa kinga mwilini,vidonda vya tumbo
# Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa kusua sua...
Shamba zuri linauzwa Kibamba (linatumika kwa sasa kulima mboga, limepakana na mto Kibwegere), Ni eneo ambalo linaweza kutumika kwa Makazi au kulima mboga mboga au kwa ufugaji. Lina Hati ya Kijiji...
Je wewe ubasumbuliwa na moja ya haya yafuatayo;-
# Kisukari.
# Shinikizo la damu.
# Maumivu ya viongo.
# Upungufu wa kinga mwilini,vidonda vya tumbo
# Mtoto anasumbua Kula, anakua kwa kusua sua...
HABARI ZENU NDUGU ZANGU
NAOMBA MNISAIDIE KITU KIMOJA NAJITAJI KUNUNUA KUKU WA KIENYEJI ORIGINAL ALIKUANAO AU ANAJUA WAPI NAWEZA KUWAPATA BASI ANISAIDIE KUWAPATA.
SIFA ZA KUKU HAO:
a) wawe wa...
Wadau, naomba kujuzwa kama hapa dar kuna kampuni yoyote inayotambulika na kuuza vifaranga vya kuku wa mayai, hasa wale wekundu, kuna mtu nilisikia alisema kuna hawa jamaa amadori but sina contact...
hii ni ya kweli kwa wale wanaohitaji pesa kupitia mtandao(networking)
no more drama in this, just open the link below and see by yourself
VisitEarnings.com - Earn from Your Home & Office...
Pata pesa mtandaoni nirahisi kujiunga nanibure tembelea hapa VisitEarnings.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people
Kadri watu utakao invite ndipo pesa...
Mwenye Vitz RS nzuri available for sale tafadhali PM
Manual preffered,lakini hata auto sio mbaya.
Please include your whatsapp # ili niweze kupata picha.
Asanteni.
Sehemu:Tabata kimanga.
Hali ya Nyumba: ya kisasa, parking kubwa, full ukuta, Maji, umeme kila kitu swafi yaani.
Nyumba iko pouwa wote wanaokaa wajanja...wazee hawatakiwi na waswahili hawatakiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.