Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

19 pieces desktop goes for 250000 tu for each. Nahitaji Myrna WA kuchukua zote discount ipo. 0717100777 whatsapp
0 Reactions
0 Replies
464 Views
Natafuta kuku aina ya Kware pesa iko mfuko wa mbele call 0679661299
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba msaada wa maelekezo, ninatamani sana kuanza biashara ya madini, hii ikimaanisha kuyanunua na kuyauza hata nje ya nchi ikibidi. Ninajua kibali ni kitu cha muhimu sana katika biashara...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
FOR ▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ DATE LISTED: 1 AUGUST 2016 ASKING PRICE: TSH:500,000 laki 5 TERMS OF PAYMENT: 6 MONTHS ( miezi 6) + KODI YA MWEZI MMOJA YA DALALI DIRECTION...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa jf Ninahitaji fundi anayetengeneza vitanda vya chuma aliyeko Tanga mjini. Kama atapatikana nahitaji kitanda chenye size 5*6 iwe design nzuri. Issue ya malipo tutaongea kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari naitwa Msua nipo mwanza natafta MTU amna kampuni inayoweza kufanya kazi ya kudesign website kwa utaalamu wa hali ya juuu pia awe na uwezo wa kutumia php database kwa kifupi ni hayo kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wapendwa wanajamvi, ninaomba Kama kuna mwenye kujua kampuni huko Uarabuni za kuuza magari yaliyotumika. Ninatafuta used landcruiser ambulance. Ningependa kufanya biashara na kampuni zinazoaminika...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Sh milioni 18. imelipiwa ushuru na Kusajiliwa 0784604971 0714894088 0762641094 mnanacom@yahoo.com mnanadotcom@gmail.com mnanadotcom@hotmail.com
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habari za leo wadau mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza naishi mbeya lakini kuna vifaa ninavyo lakini sjui ni kipi nfanye li8 vinilipe naomben msaada wa mawazo.vitu hvyo ni: camera canon...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Tunauza nguruwe wenye mimba uzao wa pili na kuendelea.Ni mbegu nzuri kabisa inazaa watoto 9-12. Bei ni 400,000-500,000 kwa mmoja Tupo maeneo kijiji cha maseyu along morogoro road. Tunaweza...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar wakuu,simu yangu imekufa betri baada ya kuiacha chaj kwa muda mrefu sasa nimejaribu kutafuta betri dukani nimekosa,,sasa kwa Mwenye nayo hiyo betri ani PM,au a nichek.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Sh milioni 21,500,000 imelipiwa ushuru na Kusajiliwa 0784604971 0714894088 0762641094 mnanacom@yahoo.com mnanadotcom@gmail.com mnanadotcom@hotmail.com
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Simu yanfu imekufa betri. kwa anaeuza wakuu,anichek pm,,,,au munielekeze wapi nikanunue sababu madukani sizion.. msaada wenu unahitajika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We provide free digital coding and printing service of sheet music.
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Get your sheet music scores digitally coded and printed for free!
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Tv hisence 42 inch ipo katika hali nzuri inauzwa tsh 750,000...ipo dar..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa wale wapenzi wa simulizi katika mfumo wa sauti (AUDIO) sasa ni OFA kwenu kwa Tsh1500/= tu utatumiwa simulizichizo kila siku kwa whatssap .... kwa mawasiliano zaidi- 0743624579
0 Reactions
0 Replies
476 Views
wadau visitin hii link mkipenda mjiregiste kabisa DoneForPay.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
0 Reactions
0 Replies
580 Views
habari waungwana.nataka kujua kwa hapa dar wapi ntaweza kupata mbegu za nyanya zinazoitwa eden zinazotengenezwa na kampuni la seminis.natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom