Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Brand new(2015) Model: 32LF550D HD 1366 X 768 resolution Active noise reduction Triple XD engine Real cinema 24p Digital tuner HDMI x 2 USB x 1 price: 650,000 contact: 0713086602
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama topic isemavyo, nahitaji kitabu hicho au movie yake, niko dar au kama kuna movie yake na iko madukani naihitaji thanks
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ipo mtaaa wa muhoro na jangwani bei ni maelewano document zote zipo mwenye interest please ni inbox ili tuweze kufanya mawasiliano
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Gari ipo dodoma haidaiwi contact 0746548636 WhatsApp 0765428633
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Nahitaji mtu mwenye paypal
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Taifa Academy Center (T.A.C), inatoa kozi ya kiingereza cha kuongea na kuandika kwa mbinu za kisasa,makini na asili. Vilevile tunatoa huduma ya ‘tution’ KWA MASOMO YA, HISTORY, KISWAHILI...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya shilingi elfu kumi kwa trei, tupo Mlandizi, 0717000990/ 0764434673
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Noah namba D
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Duka lipo Mjini Magomeni muembe Chai,kituoni barabarani. Ni duka la vitu vya chakula vya rejareja "Food stuff" Lina wateja wa kutosha . Mauzo yanalingana Na mzigo uliomo. Kodi Ni Sh 100,000 kwa...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Ndugu wanajamvi napenda kuomba msaada wenu mwenye kufahamu taarifa yoyote juu ya upatikanaji wa mashine ya kumwagilia ya solar uwezo wake na Bei na upatikanaji wake
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, naombeni msaada kujua mahali nitakapoweza kuzipata hizi mashine na ikiwezekana kujulishwa bei nitafurahi zaidi. Asante nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wauzaji wa mashine za kukoboa mpunga na kusaga mahindi kama ni muuza nipe bei..... Piga tuongee 0764601903
0 Reactions
2 Replies
5K Views
On the twelfth floor, rich with texture and form the building retains the distinctly unique architectural details of 2013. The unit layout of 141 square meters features modern natural touch...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Samahani sikumaanisha kuwafanyia watu reasech ila tunatoa ushauri jinsi ya kufanya reseach na kufundisha namna ya kufanya reseach. Mawasiliano ni 0737226429,0654004377.
0 Reactions
4 Replies
938 Views
Wadau Habari, Naomba Mwenye Taarifa Za Mashamba Ya Kukodi Kwa Ajili Ya Kilimo Huku Maeneo Ya Bagamoyo.Likiwa Karibu Na Mto Au Lenye Uhakika Wa Maji Na Ardhi Yenye Rutuba Itakuwa Vizuri.Nahitaji...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : IST Mileage : 55,000 km Engine size : 1290cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : Two wheels drive (2WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color : Silver...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wadau Kuna chuo hiki apa konatoa koz ya ulimu unaweza kukiangalia ukatupa mrejesho [www.teku.ac.tz
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wataalam wa kilimo na mifugo, Naomba msaada ni wapi ntapata mbegu za viazi vitamu aina ya karrot?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wakuu, nawatangazia huduma ya LOGO kwa anayehitaji, kama ni mtu Binafsi, Kampuni au Taasisi tunakutengenezea kwa bei nafuu sana Kwa maelezo zaidi njoo PM (Inbox), huko nitakupatia na...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Viwanja vipo sehemu nzuri, kuna umeme na barabara inapitika mwaka mzima. Ukubwa ni M25 x M30, vipo zaidi ya 6. Bei ni 8M kila ploti
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom