Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natoa huduma ya kuuza playstations 3 ambayo ziko chipped tayar na zenye michezo 5 ndani yake unayopenda wewe,ikiwa pamoja na padi mbili,adapter na waya wake ,michezo ipo ya kila aina na latest...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wana JF, Kama heading inavyojieleza. Leo nmejikuta nakumbuka wakati wa utoto wangu,nmekumbuka tulikua tunakwenda sunday school kila Jumapili na huko tulikua tunapata mafunzo tofauti na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii,,,,naombeni mwenye info za wauzaji wa bajaji used kutoka nje na bei zake,,,,Namaanisha sio mpya lakini ziwe nzuri na nzima,,,,,,,
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Kamera hii inapiga picha na kuchukua video.Kamera imetumika kidogo miezi michache na haina tatizo lolote.Ina mega pixel 5,optical zoom3,digital zoom 4,na skrini ya nchi 2.4. Unaweza kuiona katika...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Karibuni Dodoma. Kama unahitaji Nyumba ya ama kupanga au kununua pamoja pia na Kiwanja/Viwanja Sehemu yoyote katika Makao Makuu ya Nchi-Dodoma, Tuwasiliane. Call 0759 888 018 au Ni-pm kwa...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Jamani naombeni msaada wa hiyo kitu hapo juu nahitaji kimojawapo pia mwenye setup ya pc games za football fifa na pesi kuanzia 2013 hadi now naomba anijuze, kama pesa ipo. ASANTENI SANA.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana jf, nauliza ni showrooms zipi kwa dar es salaam naweza pata gari kwa bei nzuri.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Halijakamilika. Ukubwa wa uwanja 1094 mita za mraba. Kiwanja kina haki miliki ya ardhi’’Title Deed” kuna apartments 6 (one bedroom apartment)@ Bei 370mil.... kwa maelezo zaid au kuiona piga...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Vitu vifuatavyo vinauzwa bei chee!;Displaying boards 2 ukubwa futi 4*8 zikiwa na hooks 40vyote tsh 140,000/=, showcase ya Aluminum ya ukutani tsh 60,000/= pia kuna marine Boards zilikuwa...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Kama mada inavyojieleza, gari iwe kwenye hali nzuri, 4wd, mwaka 2000 kuja juu, haijapata major accident, mteja ana 12m, tuwasiliane kama ni muuzaji serious. rav4 Toyota volts
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habarini ndugu zangu namtafuta bwana shamba il akanichekie eneo chalinze km panafaa kwa kilimo cha tikit eneo langu lipo chalinze panaitwa mboga karibia na msoga my no 0653716282
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Ni moja kati ya sehemu nzuri kweli kweli kwa wapenzi ambao wana mpango wa kutembea au kwenda fungate. Ngorongoro crater lodge ni miongoni mwa sehemu nzuri ambazo unaweza kwenda na mpenzi wako kwa...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Hellows wana jf Ninauza seti za perfume kwa bei ya jumla na rejareja.... Seti moja ya kike inakua na perfume, spray, lotion na poda.. Seti moja ya kiume inakua na perfume, spray, sabuni na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
samahani was JF natafuta mahali pa kufanya kazi ya kujitolea iwe ni bank au taasisi yoyote lengo ni kupata uzoefu .Elimu ya yangu in Diploma in business administration specialized in marketing...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
habari zenu wadau. nauza laptop yangu nzuri na kwa bei nafuu. ni hp, corei5, 4GB RAM, na HDD 320. Bei yake ni nyepesi tuu 550,000/= kama unahitaji tafadhali ni pm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei 220000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msaada ambaye anajua namna ninavyoweza kupata mbegu za vanilla. ..niko mwanza
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Gari hiyo nauza kwa bei ya milioni 5.3,haidaiwi gari ipo upanga dar
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mzigo mpya upo Na vitu vyake vyote# 5s 16Gb Kwa 650,000/= tu kuna kanjaa
0 Reactions
2 Replies
949 Views
KWA MWENYE TOYOTA VITZ (NEW MODEL MWAKA 2007 KUJA JUU )AU RACTIS(MWAKA 2007 KUJA JUU) NICHEKI HPA 0783380123.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom