Shamba linauzwa Kibamba

kilimajoy

Senior Member
Oct 31, 2010
132
7
Shamba zuri linauzwa Kibamba (linatumika kwa sasa kulima mboga, limepakana na mto Kibwegere), Ni eneo ambalo linaweza kutumika kwa Makazi au kulima mboga mboga au kwa ufugaji. Lina Hati ya Kijiji, na muhtasari wa kijiji ulitolewa na Halmshauri ya Kibaha imeshatoa idhini ya kuanza kulipima. Kwa hiyo kwa atakae nunua, anaweza akaendelea moja kwa moja na upimaji na akapata hati kwa jina lake. Ukubwa heka moja (1), kutoka pale Kibamba mwisho ni kilomita 6 barabara ni moja kwa moja hadi shambani. Bei yake ni Milioni Kumi (10,000,000). Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba 0715441492
 
Shamba zuri linauzwa Kibamba (linatumika kwa sasa kulima mboga, limepakana na mto Kibwegere), Ni eneo ambalo linaweza kutumika kwa Makazi au kulima mboga mboga au kwa ufugaji. Lina Hati ya Kijiji, na muhtasari wa kijiji ulitolewa na Halmshauri ya Kibaha imeshatoa idhini ya kuanza kulipima. Kwa hiyo kwa atakae nunua, anaweza akaendelea moja kwa moja na upimaji na akapata hati kwa jina lake. Ukubwa heka moja (1), kutoka pale Kibamba mwisho ni kilomita 6 barabara ni moja kwa moja hadi shambani. Bei yake ni Milioni Kumi (10,000,000). Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba 0715441492

Kwa yule aliye serious tunaweza kukubaliana namna ya kulipa sio lazima zilipwe zote kwa wakati mmoja, ila at least zilipwe zaidi ya nusu kwa mara ya kwanza.
 
Kwa yule aliye serious tunaweza kukubaliana namna ya kulipa sio lazima zilipwe zote kwa wakati mmoja, ila at least zilipwe zaidi ya nusu kwa mara ya kwanza.

Kuna ambaye ameuliza kwa njia ya simu hatua za upimaji zimefikia wapi, na kama lipo kwenye swap area. Shamba hili halipo kwenye swap area, lipo kwenye side ya mto ambao maji hayafiki kabisa. Hatua iliyofikiwa kwenye upimaji ni kwamba, Halmashauri ya Kibaha imetoa kibali cha kupima na kinachotakiwa kufanyika ni kumchukua mpimaji kuanza kazi.
 
asante kwa taarifa njema mkuu,huo mto ni wa kudumu au wakati wa kiangazi hukauka?
 
asante kwa taarifa njema mkuu,huo mto ni wa kudumu au wakati wa kiangazi hukauka?
Huo mto ni wa masika tuu, ila kwenye huo mto kunasimama maji muda wote wa mwaka, nilihakikisha nimelinda miti iliyopo pale kwa upande wangu haijaguswa, kwa hiyo kuna maji ya kumwagilia muda wote. Na kuchimba kisima pale ni rahisi tuu in case unahitaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom