Ni gateway desktop computer..
nmeona niiuze kwa bei ya hasara tu maana nna shida na hela.
HDD 1000 GB (1TB) ,RAM GB 6 ,CORE i3,Touch screen, Wireless Keyboard n mouse.
nicheki now kwa...
halotel kwasasa ndo mtandao unaondena na maisha ya watanzania...vifurushi vyao vinaridhisha siyo vya kinyonyaji kama vya mitandao mingine...
kwale wenzangu na mimi tunaotumia mtandao wa vodacom...
Waungwana siku si nyingi nitakuwa safarini KASULU, naomba nifahamishwe guests house lodges za hazi ya Kati za gharama kati ya 15-25. Natanguliza shukrani.
Zamaulid
Kiwanja kipo Umbali wa Mita 300 kutoka Barabara Kuu( Bagamoyo Road)
Kiwanja Kimepimwa na kina hati.
Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1200
Bei ni Tshs Milioni 250
Tuwasiliane: 0713226191 au...
Double storey house for sale at mikocheni milion 450, 3 house for sale at Mbezi near white sands hotel $400000, plot for sale at kaunda with4000 sqmter near kenya embassy $4.5 milion. Call 0656015564
Habari wadau, nafanya kazi ya kutoa magari bandarini na mizigo ya airport kwa Gharama nafuu kabisa
Pia natoa ushauri kwa wanaotaka kuagiza au jambo lolote kuhusu Export au Import,
kwa maeleza...
Kiwanja kipo Goba mjini mita 300 kutoka stand njia ni nzri ya kufika hadi kwenye kiwanja, ukubwa 40 kwa 50 bei yake 35ml.maongezi kidogo yapo ukihitaji Maelezo zaid au kuja kukiona wasiliana nami...
DALALI MWANZA
kwa mahitaji yako ya nyumba za kupanga.viwanja.magari.nyumba za kununua.mafundi wazuri na wachoraji wa ramani wazuri
usiache kunifollow instagram na facebook dalalimwanza...
Kwa wakazi wa Dodoma mjini karibuni KAIZER FASHION barabara ya 10 mjipatie pamba kali kwa bei poa jumla na rejareja Nguo za watu wa jinsia na wa umri wote zinapatika. Kwa mawasiliao zaidi contact...
Habari za mchana wadau natumaini mpo poa... jaman naitaji king'amuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 0658038038... niko Dar
Ninahitaji msaada kwa anayefanya biashara ya Used computers naomba uniambie kama unahusika nazo Jumla au rejareja. nitakucheki inbox. au kwa email: ymollel@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.