Je unahitaji huduma mojawapo kati ya zifuatazo katika nyumba yako?
Kufanyiwa Wiring
Michoro ya Wiring (Electrical wiring drawing).
Ukadiriaji wa gharama katika manunuzi ya vifaa vya umeme katika...
Natafuta chumba cha kupanga self mwanza maeneo ya nyegezi Au Kona ya bwiru pasiasi nyamanoro Au ilemela. nyumba yenye usalama karibu na barabara ningefurahi zaid ikiwa na uzio.
Jaman madalali...
Viwanja viwili vinauzwa kigamboni mwembe mdogo kilomita mbili kutoka dege house project.
30*30 tshs 10 milions na 30*60 kikiwa na tofali 700 kinauzwa 17 mls.
Vina documents za serikali ya mtaaa...
0753816313 Mwenye namba hiyo hapo anahitaji pikipiki ya kununua, iliyotumia muda mfupi, mnunuzi ni mkazi wa Kibaha kwa Mathias, kwa mwenye nayo waweza mpigia, muelewane.
Hi
posting again
finance is available for any good viable project
finance start from $5million and on
our requirement is
need to have your local bank or government guarantee only.
pls...
House for rent at the heart of Arusha, Sitting on a 1.5Acre Plot,
First entrance at jandu road, behind Barclays bank. Next to Brusma Vegetable Market
Near TANAPA Rest House Call 0784 673 315...
wakuu habari zenu! samahani naombeni msaada jinsi ya kupata line ya m- pesa, tigo pesa, na airtel money na zinapatikana kwa shilingi ngapi? mwenye uzoefu nayo naomba anieleweshe!
aksanteni wakuu!
Je,wewe ni muhitaji wa huduma yeyote ya kielimu? usijali Maswayetu blog tumeamua kuanzisha huduma kwa wadau wake.
Tunafanya yafuatayo;
1.Tunaangalizia watu majina vyuo walivyochaguliwa mfano.vyuo...
Habari wapendwa ninauza viatu simple za akina Dada Jumla na reja rejareja kuna vya rejareja 1000 na jumla kuanzia pic 6 elfu nane pia kuna vya rejareja 5000 jumla kuanzia pic 6 elfu NNE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.