Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, nawatangazia huduma ya LOGO kwa anayehitaji, kama ni mtu Binafsi, Kampuni au Taasisi tunakutengenezea kwa bei nafuu sana Kwa maelezo zaidi njoo PM (Inbox), huko nitakupatia na...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Viwanja vipo sehemu nzuri, kuna umeme na barabara inapitika mwaka mzima. Ukubwa ni M25 x M30, vipo zaidi ya 6. Bei ni 8M kila ploti
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wazima Wakuu, Nahitaji kiwanja bomang'ombe Hai, budget yangu ni Million 3, mwenye nacho tuwasiliane tafadhali # 0685000921#
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Noah inauzwa Milion 14,, wasiliana na namba 0688121308
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Compressor Ni used from Japan zinauwezo mkubwa Sana. Ziko Mwanza na bei Ni milioni 18 Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa #0742159555 Nimeambatanisha na picha kwa maelezo zaidi
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu, Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
  • Closed
Hii ni kampuni imesajiliwa, wamekuja na mfumo hi.. Tumia simu yako ya kiganjani, laini yako binafsi ya kila siku na mtaji mmoja kwa kujiajiri kama Wakala au matumizi binafsi. Utaweza kutoa huduma...
0 Reactions
23 Replies
15K Views
njia moja wapo ya kuweza kumudu biashara yako ni kutumia Tally.Erp9 accounting software.Tally.Erp9 inauwezo mkubwa wa kukusaidia kila aina ya changamoto ambazo wewe utakutana nazo...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Kiwanja kipo barabara ya Mwanza karibu na mizani. Bei ni 3.5ml kwa eka ila inaongeleka. Wasiliana nae 0752959836
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno. Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Habari, nina tani 15 za pilipili Manga /mtama kavu na ni nzuri, kg nauza kwa 20000 mpaka kumfikishia mteja. Naomba kwa atakayehitaji tuwasiliane 0627748402
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tally training ya: 1. Kucreate masters ya accounts na inventory 2. Kupost vouchers kama vile petty cash, invoice, payment n.k 3. Kuview na kuprint reports na kuexport hizo reports kwenye pdf...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, wapi mtu anaweza kupata vitu vya ndani kama TV na Fridge kwa mkopo wa kulipa kwa miezi 3,4 hadi 6? -mfanyakazi sekta binafsi hivyo mdhamini uwe mwajiri na mkataba wake.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kodi isizidi laki saba...mzungu mwanaume anatafuta appartment ya kupanga ya kisasa mbezbeach iliyo na fenicha tayari, mahitaji ni chumba kimoja master, sebule na jiko na iwe ndani ya fensi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Zenu Wadau Nimepata Kazi Mkoan Hivyo Natafuta Mtu Nimpe Kitanda 5*6 na Godoro Lake Na Chumba Kwa Laki 2.5 Tu. Chumba Kipo Kiwanda Cha Tumbaku Km 5 Kutoka Chuo Cha Sua Kampas Ya Mazimbu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo dar mitungi ya oryx mikubwa ...miwili ina gesi mikubwa na mitatu haina ges mikubwa,,bei maelewano,,nichek 0687648670
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Haina tatizo lolote, Bei Tsh 250,000 inapungua kidogo
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Gari iko katika hali nzuri na haina tatizo lolote. gear ni manual inatumia diesel milango mitano haijawahi kufunguliwa engine model ya 1992 engine cc 2470 ac inafanya kazi ina 4wd bei ni milioni 8...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujulishwa kwa anayejua hasa mliopo china na nchi zingine, Bei ya mashine au mtambo wowote wa kutengengeza ice block uwe used au mpya unaotoa hata tofali 20 za ice, tofauti na freezer za...
0 Reactions
2 Replies
671 Views
Back
Top Bottom