Habari wakuu, nawatangazia huduma ya LOGO kwa anayehitaji, kama ni mtu Binafsi, Kampuni au Taasisi tunakutengenezea kwa bei nafuu sana
Kwa maelezo zaidi njoo PM (Inbox), huko nitakupatia na...
Compressor Ni used from Japan zinauwezo mkubwa Sana.
Ziko Mwanza na bei Ni milioni 18
Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa #0742159555
Nimeambatanisha na picha kwa maelezo zaidi
Wakuu,
Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13...
Hii ni kampuni imesajiliwa, wamekuja na mfumo hi..
Tumia simu yako ya kiganjani, laini yako binafsi ya kila siku na mtaji mmoja kwa kujiajiri kama Wakala au matumizi binafsi. Utaweza kutoa huduma...
njia moja wapo ya kuweza kumudu biashara yako ni kutumia Tally.Erp9 accounting software.Tally.Erp9 inauwezo mkubwa wa kukusaidia kila aina ya changamoto ambazo wewe utakutana nazo...
Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
Habari, nina tani 15 za pilipili Manga /mtama kavu na ni nzuri, kg nauza kwa 20000 mpaka kumfikishia mteja. Naomba kwa atakayehitaji tuwasiliane 0627748402
Tally training ya:
1. Kucreate masters ya accounts na inventory
2. Kupost vouchers kama vile petty cash, invoice, payment n.k
3. Kuview na kuprint reports na kuexport hizo reports kwenye pdf...
Habari zenu wadau, wapi mtu anaweza kupata vitu vya ndani kama TV na Fridge kwa mkopo wa kulipa kwa miezi 3,4 hadi 6?
-mfanyakazi sekta binafsi hivyo mdhamini uwe mwajiri na mkataba wake.
Kodi isizidi laki saba...mzungu mwanaume anatafuta appartment ya kupanga ya kisasa mbezbeach iliyo na fenicha tayari, mahitaji ni chumba kimoja master, sebule na jiko na iwe ndani ya fensi...
Habari Zenu Wadau Nimepata Kazi Mkoan Hivyo Natafuta Mtu Nimpe Kitanda 5*6 na Godoro Lake Na Chumba Kwa Laki 2.5 Tu. Chumba Kipo Kiwanda Cha Tumbaku Km 5 Kutoka Chuo Cha Sua Kampas Ya Mazimbu...
Gari iko katika hali nzuri na haina tatizo lolote.
gear ni manual
inatumia diesel
milango mitano
haijawahi kufunguliwa engine
model ya 1992
engine cc 2470
ac inafanya kazi
ina 4wd
bei ni milioni 8...
Naomba kujulishwa kwa anayejua hasa mliopo china na nchi zingine, Bei ya mashine au mtambo wowote wa kutengengeza ice block uwe used au mpya unaotoa hata tofali 20 za ice, tofauti na freezer za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.