Mtakutafuta ndigu yanguMView attachment 374929ashine na camera vinauzwa
Nilinunua kwa ajili ya matumiz binafsi na nishamalizia kazi,
Laki 3,nipo gongolamboto 0713715772
laki 3 kwa vyote au??MView attachment 374929
Mashine na camera vinauzwa
Nilinunua kwa ajili ya matumiz binafsi na nishamalizia kazi,
Laki 3,nipo gongolamboto 0713715772
laki 3 kwa vyote au??
Nauza complete mkuu,Oya minataka hy mashine ya kusafishia tu jje bei gn utaniuzia 0659865639
Asante mkuu,hiyo ndio bei yangu elekezimzee hiyo mashine peke yake ni 120,000 /=
mpyaa kwenye box canon na hiyo camera uliyo weka haizidi 14 pixel ambapo ukipigwa sana ni 60,000/= istoshe umesha pigia hela kwa hiyo kz binafsi weka bei vizur na wenzio wapate kula
Wapi vyauzwa kiongozi kwa iyo bei ulio semamzee hiyo mashine peke yake ni 120,000 /=
mpyaa kwenye box canon na hiyo camera uliyo weka haizidi 14 pixel ambapo ukipigwa sana ni 60,000/= istoshe umesha pigia hela kwa hiyo kz binafsi weka bei vizur na wenzio wapate kula
Kama hununui acha wenye uhitaji... Sio lazma unye kwenye kila kichakamzee hiyo mashine peke yake ni 120,000 /=
mpyaa kwenye box canon na hiyo camera uliyo weka haizidi 14 pixel ambapo ukipigwa sana ni 60,000/= istoshe umesha pigia hela kwa hiyo kz binafsi weka bei vizur na wenzio wapate kula
Muongo huyo... Ndio walewale, jirani akicheka yeye anatapika kwasababu ya kijibaWapi vyauzwa kiongozi kwa iyo bei ulio sema