Uwe makini na utakaoletewa au kuja wenyewe...dunia imeharibikaNahitaji mwanadada mtu mzima, anayejielewa na si msichana,wa kufanya usafi nyumbani, mara mbili kwa juma, kufua, kupiga pasi, kufanya usafi wa jumla wa nyumba, haswa ndani na kuosha vyombo....GOBA....@senior bachelor.