Ni gateway desktop computer..
nmeona niiuze kwa bei ya hasara tu maana nna shida na hela.
HDD 1000 GB (1TB) ,RAM GB 6 ,CORE i3,Touch screen, Wireless Keyboard n mouse,webcam, kioo inch 21 n.k
Bei...
Habari wana Jf, kama nilivyoainisha kwenye kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji mpishi anayejua kupika chapati nzuri laini na zinazochambuka. Mwenye huo ujuzi anaweza kuwasiliana na mimi kwa...
laptop kubwa aina ya toshiba used for 11 month, hard disk gb 400, ram 2gb, processor yake ni kubwa 2.13Ghz. Bei ni laki tatu kamili. Contact 0712518770
C
SERVICE PROVIDED by First Security Co LTD
Our Security Officers are selected, trained and equipped for a variety of environments and situations, our policy is to use only long serving guards who...
MSAADA WANA JF...NINA SHIDA NA ZILE MASHINE ZA JUX BOX NA MASHINE ZA KUCHEZESHEA MICHEZO YA KUBAHATISHA MWENYE KUNISAIDIA TAFADHARI MAENEO ZINAPOPATIKANA
Katika pitapita yangu nimesikia kwamba matukio mengi ya kihalifu kama wizi kwa kiasi kikubwa walinzi wanashiriki aidha kwa kudhamiria au kutoa taarifa pasipo kujua.
Hivyo kwa makusudi nikaamua...
1. Kiwe na hati
2. Ukubwa kuanzia square metre 1200 au zaidi
3. (light industrial) Kinachofaa kwa matumizi ya kujenga factory kwa ajili ya furniture na metal drill works
4. Bei maelewano...
Habari za mchana wadau natumaini mpo poa... jaman naitaji king'amuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 0658038038... niko Dar
Habar wadau ,
Naomba kujua wapi nitaweza kupata huduma ya kudarizi/kutengeneza logo , ila sitaki za kuprint kwa rangi..
Na Pia naomba kujua gharama za kuprint logo 1 kwa shati
NB: nahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.