Nauza nyumba ina vyumba sita imeisha ila tu kuezekwa, ila imeezekwa kikawaida vyumba vitatu vinakaliwa, ina frem moja mbele lakini lipo eneo la kuongeza frem zingine nne na eneo lingine la kujenga...
jamani limepita juma moja tu, tangu nilipo semea smell mbya ya itakanayo na mgegedano, kwa wkaz wa sinza na wapita njia, nilisema wazi kuwa yawzekana sinz get zake nyingi hazina maji, sasa hii...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili.
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nina haja na bluetooth speaker nzuri yenye mziki mnene ambao upo clear masikioni, inayoshabihiana na device mbali mbali kama...
Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.
Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na...
Inapatikana tegeta karibu na barabara ya kwenda twiga . . Ina hati.. vyumba vitatu, kimoja master,, sebule kubwa, dining, jiko, public toilet, na uwanja mkubwa nje kama inavyoonekana..
Ipo...
Habari wana jf samahani nlikua nataka kuanza biashara ya nguo za kike za mitumba naomba msaada au hata ushauri ni sehemu gani kwa hapa dar nnapoweza pata mitumba mizur ya kike grade 1
Martin ds king ana toa ofa ya nguo za kacha kwale wateja wakwanza ambao wata wai watatengenezewa nguo grade A nikimahaanisha nguo yenye kwarti ya yuu kabisa na wale watao fata watono wata pata...
Kwa wale wanao penda kwenda na wakati katika maisha yao una weza kuungana na martin ds king kwa fashion kali za kacha pia na Disgn nguo za sendoff zakike na zakiume wakubwa kwa wadogo pia una weza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.